Hii ndiyo internet ya Halotel speed ya kobe natamani niwashitaki

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Oneni hapo[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]mtandao wahovyo duniani ndo huu sasa 450kbps na hapo ni 4G na hapo natumia simu kali kabisa ya kimarekani maana watu hawakawii kusema labda shida ni simu.

Internet speed ya kobe network ni 4G nilipo ni mjini Dar es Salaam kabisa tulipo na mnara wa halotel ni mita kama 400 tu hivi lakini oneni huu uhuni[emoji1313][emoji1313]

Hawa ni wa kufungwa kabisa kwa utapeli huu maana huku kuuhadaa umma kuwa wana 4G kumbe uhalisia na G au E.

Yaani TCRA wangekua na akili za kukagua hii mitandao kwenye speed wengi wangeumbuka maana tunaambiwa ni 4G na 5G kumbe unakuta ni mitambo ya 2G inawashwa wanabadili tu majina wanaandika 4G au 5G

Sasa 450kbs nafanyia nini?? Star link waje tu nimechoka na huu upuusi!

 
Halotel wamekuja kuwa wa hovyo kuliko hata airtel tena , yaani spidi ya voda 4g ni kubwa mno kuzidi hii spidi ya halotel 4g kwa sasa
 
Bundle gani? sio M2M hilo?

Kama ni M2M ile ya unlimited basi usijisumbue.

Lile bando lina Throttling ya kibabe, hata uende ukae juu ya mnara ila ukifikisha 0.5Mbps wewe ni kidume.

Kipindi cha mvua ushawahi kuona nyumba ndani inavuja mpaka ukahisi aliye nje hanyeshewi sana kuliko wewe uliye ndani?

Basi hilo bando nimeshuhudia watu wakizima WIFI na kuwasha mobile data ili waweze kutuma picha yenye MB2.
 
Kweli mimekubali m2m ni wizi mwingine
 
Duuh mbona me natumia liko poa tu?

Au inategemeana na sehemu ulipo?
 
Nikiwa naishi Meru kipindi Cha nyuma kidogo, ilikua umeme ukikatika tu na internet ya Airtel inakatika hewani muda huo huo.Sikuwahi kujua kwanini inakua hivyo.
 
Mtandao wa kipuuzi sana
Halotel wezi mbona iko wazi hiyo?? Kuangalia tu salio hawaleti meseji mpaka wajisikie wenyewe, achilia mbali speed yao ndio takataka.

Hama huo mtandao wa wezi
 
M2M situmii tenamkuu japo nina router lao lakini wanajisifu zile laini zina kasi kwa kua eti zinatumika only for intanet
 
Ukiona hivyo ujuwe minara yao hawajafunga jenereta zile auto generators wao wanatumia umeme wa tanesco tu moja kwa moja
Nikiwa naishi Meru kipindi Cha nyuma kidogo, ilikua umeme ukikatika tu na internet ya Airtel inakatika hewani muda huo huo.Sikuwahi kujua kwanini inakua hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…