Hii ndiyo mali ya Watanzania, mnatakiwa muilinde kwa wivu Mkubwa

Hii ndiyo mali ya Watanzania, mnatakiwa muilinde kwa wivu Mkubwa

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Achaneni na maswala ya bandari sijui SGR, sijui nini.

Hii ndiyo mali ya Watanzania wanayopaswa kuipigania.

Ndiyo maana wakati wengine tunamaliza bundle mitandaoni kufuatilia bunge likipitisha mkataba, upande mwingine wananchi wala hata hawakuwa na habari ya kinachoendelea huko bungeni, wenyewe walikua busy na timu yao inayowapa Raha huku wengine wakawa busy na bunge lao linalowaliza.

By the way hongera sana kwa bunge.

Timu ya Wananchiiii...ilipotaka kuuzwa hii, wauzaji hadi wanunuzi waliuona moto wake.

Screenshot_20230610-192400_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom