Hii ndiyo Sababu sikuoa na wala sina mpenzi Mwanachuo

Hii ndiyo Sababu sikuoa na wala sina mpenzi Mwanachuo

Fuatilia vizuri, walifeli hisabati form 4. Read & vote here

 
😫😫😫😫tatizo hakuchukua ka video bhana angerecord ata audio wakati anagugumia maumivu..
Daah yaani wanachuo mara wakamatwe wa ajiuza mara wanafanyiwa mambo ya Firauni....kuliwa mitungo ndio ishakuwa kama fashion
 
Hao form four failure ndio wanaanzaga mapema mpaka wanafeli.

Huku mtaani watoto wa form 3&4 wanaliwa vibaya muno.
 
Mnasikia yanayoendelea, yaliyoendelea na yatakayoendelea.

Kila wakati mitandaoni tunaona wanaoliwa mitungo, wanaopakuliwa mambo haramu ni wasomi.

Hii ndio sababu bora nikae na form Four Failure ila sio hawa wake za vigogo.
Ujinga tu
 
Umeruka mkojo umekanyaga mavi...Form four failure uwiii
Mnasikia yanayoendelea, yaliyoendelea na yatakayoendelea.

Kila wakati mitandaoni tunaona wanaoliwa mitungo, wanaopakuliwa mambo haramu ni wasomi.

Hii ndio sababu bora nikae na form Four Failure ila sio hawa wake za vigo
 
Back
Top Bottom