Hii ndiyo sheria ya ugaidi inayomshitaki Lwakatare na Ludovick

Hii ndiyo sheria ya ugaidi inayomshitaki Lwakatare na Ludovick

Fred Katulanda

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
380
Reaction score
550
“Katika kesi hii ya Lwakatare ninachokiona ni matumizi mabaya ya sheria na wale waliombakizia kesi Lwakatare wanastarehe na kufurahi kuona Lwakatare anaenda kuishi gerezani”alidai Profesa Safari.
 

Attachments

Hapo Section 4? Kama inaletaleta ladha, anyway mie SI mwanasheria.
 
“Katika kesi hii ya Lwakatare ninachokiona ni matumizi mabaya ya sheria na wale waliombakizia kesi Lwakatare wanastarehe na kufurahi kuona Lwakatare anaenda kuishi gerezani”alidai Profesa Safari.

Mipango ya kigaidi haiwezi kupangwa na mtu mmoja. Wote waliohusika wataenda kuozea gerezani.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
[h=5]lwakatare na ludovick wanakabiliwa na mashtaka yafuatayo;

1.kosa la kula njama na kutenda makosa ya jinai kinyume na kifungu cha 384 cha sheria ya adhabu sura ya 16. Ya mwaka 2002, washtakiwa walikula njama kwa kutoa sumu kwa nia ya kumdhuru msacky kinyume na sheria kanuni na taratibu.

2.washtakiwa kwa pamoja walikula njama ya kufanya kosa la jinai kinyume na kifungu cha sheria cha 24.2 cha sheria dhidi ya ugaidi.

3.washtakiwa kwa pamoja walishirikiana kupanga njama za utekaji nyara dhidi ya msacky kinyume na sheria inayopinga ugaidi.
(washtakiwa walifanya mkutano wa vitendo vya kigaidi).kwamba washtakiwa walipanga na kushiriki mkutano wa kupanga kitendo cha ugaidi cha utekaji nyara dhidi ya msacky.

4. Lwakatare peke yake anakabiliwa na shtaka la nne la kuhamasisha vitendo vya ugaidi, na kwamba siku hiyo ya tukio lwakatare alitumia nyumba yake kama mwenye nyumba, akijua, aliruhusu mkutano kati yake na ludovick ufanyike katika nyumba yake kwa lengo la kuhamasisha vitendo vya ugaidi dhidi ya msacky.

Tunatarajia sheria itafuatwa na haki itatendeka ili kukomesha vitendo kama hivi katika jamii iliyostaarabika ya watanzania[/h]
 
Mipango ya kigaidi haiwezi kupangwa na mtu mmoja. Wote waliohusika wataenda kuozea gerezani.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums



Old pirates, yes, they rob I;
Sold I to the merchant ships,
Minutes after they took I
From the bottomless pit.
But my hand was made strong
By the 'and of the Almighty.
We forward in this generation
Triumphantly.
Won't you help to sing
This songs of freedom
'Cause all I ever have:
Redemption songs;
Redemption songs.
Emancipate yourselves from mental
slavery;
None but ourselves can free our minds.
Have no fear for atomic energy,
'Cause none of them can stop the time.
How long shall they kill our prophets,
While we stand aside and look? Ooh!
Some say it's just a part of it:
We've got to fullfil the book.
Won't you help to sing
This songs of freedom-
'Cause all I ever have:
Redemption songs;
Redemption songs;
Redemption songs.
Emancipate yourselves from mental
slavery;
None but ourselves can free our mind.
Wo! Have no fear for atomic energy,
'Cause none of them-a can-a stop-a the
time.
How long shall they kill our prophets,
While we stand aside and look?
Yes, some say it's just a part of it:
We've got to fullfil the book.
Won't you have to sing
This songs of freedom? -
'Cause all I ever had:
Redemption songs -
All I ever had:
Redemption songs:
These songs of freedom,
Songs of freedom.
 
Ukisoma kisa cha Mtego wa Panya toka kwa Mjengwa kuna kitu cha kujifunza, wakati hii sheria inaanzishwa kuna kundi lilishangilia wakati kuna kundi lilikuwa linatoa Angalizo likapuuzwa!
 
mtu atuwekee exactly sections za hii act alizoshatikiwa nazo au kama kuna mwenye charge sheet aweke ili tuzichambue kikamilifu kwa manufaa ya kizazi hiki. Maana tusipoanglia kuna siku utakamatwa ukiangalia mpira wa arsenal au man u au barca alafu uambiwe ulikuwa kwenye kikao cha terrorism.
 
Wakuu naona hii sharia iko ambiguity kama sheri ya ubakaji, ukiangalia excerpt iko too general halafu interpretation hai reflect the really meaning of terrorism! imeundwa kwa haraka kwa presha ya Marekani dhidi ya mabomu ya Osama. Kwa maana hiyo mamlaka yaweza kuitumia vyovyote kumkandamizia mbaya wake!

Pia naona inakihuka cardinal requirements za sheria kwa kuto address the intended merits
Nimeshindwa hata ku quote sections manake almost yote ni ngumu kwa jaji au hakimu makini kuitumia katika kujibu shitaka hasa pale inaposhindwa kuelekeza inakuwa lini kwenye application yaani ni baada ya commitment of an offense au an intent to commit offense!
Jamani wanasheria mliobobea tusaidieni katika hili
 
lwakatare na ludovick wanakabiliwa na mashtaka yafuatayo;

1.kosa la kula njama na kutenda makosa ya jinai kinyume na kifungu cha 384 cha sheria ya adhabu sura ya 16. Ya mwaka 2002, washtakiwa walikula njama kwa kutoa sumu kwa nia ya kumdhuru msacky kinyume na sheria kanuni na taratibu.

2.washtakiwa kwa pamoja walikula njama ya kufanya kosa la jinai kinyume na kifungu cha sheria cha 24.2 cha sheria dhidi ya ugaidi.

3.washtakiwa kwa pamoja walishirikiana kupanga njama za utekaji nyara dhidi ya msacky kinyume na sheria inayopinga ugaidi.
(washtakiwa walifanya mkutano wa vitendo vya kigaidi).kwamba washtakiwa walipanga na kushiriki mkutano wa kupanga kitendo cha ugaidi cha utekaji nyara dhidi ya msacky.

4. Lwakatare peke yake anakabiliwa na shtaka la nne la kuhamasisha vitendo vya ugaidi, na kwamba siku hiyo ya tukio lwakatare alitumia nyumba yake kama mwenye nyumba, akijua, aliruhusu mkutano kati yake na ludovick ufanyike katika nyumba yake kwa lengo la kuhamasisha vitendo vya ugaidi dhidi ya msacky.

Tunatarajia sheria itafuatwa na haki itatendeka ili kukomesha vitendo kama hivi katika jamii iliyostaarabika ya watanzania
Kama nilivyokwishaeleza hapo mwanzo sheria nzima ni ambiguity inatumika kwa matakwa ya wanaoitumia kwa muda huo lakini si kwa kuleta piece and tranquility jambo ambalo ni msingi wa sheria za nchi
 
Hii ni moja ya Sheria ambazo hazikutungwa wala kuridhiwa na Taifa lolote Afrika kutokana na mahitaji ya Jamii zake bali matakwa ya Mabeberu. Kwa bahati mbaya, Bunge la Wakati ule kwa hapa Tanzania lilikuwa na "NDIYO" nyingi kuliko Fikra huru.

Ingekuwa Sera, Sheria na Miongozo muhimu sana vinatungwa kwa kufuata mahitaji na ulazima wa Jamii katika wakati husika, kabla ya kuwa na Sheria ya Ugaidi tungepitisha Sheria ya Kulinda Ajira!
 
Back
Top Bottom