Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
kama kumi hivi mkuu unaweza kukata kata unalaza kwa maji ya vuguvugu asubui unyweNusu lita???[emoji15] [emoji15] mbona nyingi sana, hebu dadavua punje ngapi unasaga???
Hapo sawa, thankskama kumi hivi mkuu unaweza kukata kata unalaza kwa maji ya vuguvugu asubui unywe
ukitaka matokeo mazuri ule na popcorn sanaHapo sawa, thanks
hii hata kwa mjamzito jamani?Naskia kuna watu wana tatizo la kupata choo,
Dawa: juice ya vitunguu swaumu nusu lita
Muda: Asubuhi kabla hujanywa kitu chochote ukae nusu saa ndo ule kitu kingine
Matokeo: dakika kumi
Nilijuaje: Kwenye group letu la kupunguza vitambi tuliambiwa tunywe tukinywa wote baada ya dakika kumi lazima ukapupuwe.
Kwa wale wenye shida ongezeeni hii kwenye tiba zenu
sijui kwa kweli ndo maana mjamzito kuna clinic anapewa ushauri ale nini anywe nini hukohii hata kwa mjamzito jamani?