Hii ndiyo top 5 ya mameneja bora wa muziki Tanzania

na ile kampuni aliyopewa share na kumfanya baraka asepe na kuingia dimpoz... ni ya seven????? ili kuwa au ina fanya shughuli gani hasa kwa kiba? ni mdhamini wa videos????
 
Ungeweka relativity ya meneja na msanii wake na mafanikio ya msanii hapo unge sound wise lather zan iyo mihemko yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…