Hii ndiyo vita ya kisiasa, tujifunze kuwa na adabu

Hii ndiyo vita ya kisiasa, tujifunze kuwa na adabu

KatetiMQ

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2022
Posts
249
Reaction score
506
👉Mimi binafsi sikumpenda Trump tangu mwanzo si sababu ya chuki hapana ajenda zake si nzuri kwavwatu weusi toka mwanzo. Trump kabla hatujaelekea uchaguzi alitamka kauli ya kwamba "atahakikisha wahamiaji wanaondoshwa America na atahakikisha anazuia wahamiaji kuingia Amerika".. akimaanisa Weupe ndio wakaaji halisi wa America na Weusi ni wahamiaji...kwakuwa yy ni mweupe hawezi kusema kuwa rangi yake ni wahamiaji... wengi watasema hukuelewa kauli vizur james

👉Wakati wa matokeo ya uchaguzi mgombea mpinzani wa Trump huko America alipata karibia kula asilimia 80% za Weusi...wengi walisema Waafrika walimpigia kula kwasababu ya Bangi. Si kweli kabisa... kwani wewe unaishi Amerika?

Muamko wa kiroho wa Waamerica weusi ni mkubwa kuliko muamko wa Nchi za Afrika au weusi waliopo Afrika.

👉Trump amenuia kusitisha misaaada AFRIKA. Kuna athari zitatokea na Afrika itaathirika vibaya mno kama agizo hilo la kusitisha misaada litatekelezwa. Vifo vya watanzania vitaongezeka na Afrika kwa ujumla kwa ARVs zitasitishwa na kama zikipatikana zitauzwa kibiashara inaweza chukua hata laki nne mpaka milion na Waafrika wengi ni masikini. Hii tunaita VITA YA KISASA yenye lengo la Kuwa adabisha WAAFRIKA

Maana waafrika kwasasa wanajifanya wameamka na wanazitukana huduma zetu, tunaleta chanjo wanasema Freemason tunataka kuwaua.

Niwaambie hivi ugonjwa wa HIV wengi waafrika ni wagonjwa na idadi ya wagonjwa ni kubwa Afrika huko AMERICA kwa wazungu ni kama haipo kabisa idadi ni ndogo sana sanaa. Na waafrika hatujui ugonjwa ulitoka wapi ila Idadi kubwa ipo kwetu

Kukitekelezwa agozo hilo... mpaka kufikia mwaka ujao kutakuwa na nafasi nyingi sana za kazi maofisini..idadi kubwa kubwa vya waafrika itapungua miradi biashara nyingi zitasimama, Uchumi utaporomoka AFRIKA itaandamwa na majomzi na vilevile misaada haito kuja. AFRIKA watawasujidia na kuwalilia weupe wawahurumie.

TRUMP ni mtekelezaji wa udugu wa siri unao taka sasa waafrika waache ubishi na wasitishe mambo yao ya kujifanya wameamka wakubali kuwa Roboti na kusalenda kwa weupe ndipo misaada kwa mara ya kwanza itaanza kuletwa na Nchi za kiafrika zitakazo kataa moto wa jehanamu ya maisha duniani utaongezwa na vikwazo juu.

👉Matukio yenyewe yanaendana na sayari ya mwaka ambayo ni Sayari ya Mars.. inayo wakilishwa na Rangi nyekundi...rangi ambayo inaashiria MOTO na DAMU

Matukio ya moto wa calfornia ni ishara ya Sayari ya mars ..ikiingia kwenye utawala ...Moto ni alama ya mars.. ni Mungu wa vita ...rangi nyekumdu inawakilisha pia damu, vifo machafuko.

THIS YEAR WILL BE THE GREATEST YEAR

Wenye nguvu watasalimika

Baada ya Waafrika kunyooshwa.. Ndipo mpangilio wa NWO utaanza wabishi watakuwa wachache

Hii ni vita ya kisasa na Tump ndiye mtekelezaji wake... Watu weusi hawakuwa wajinga Kumpigia kura kwa wingi mpinzani mgombea mwenza wa Trump

Tutashuhudia mengi

Naendelea kusikitika Waafrika mitandaoni wanampigia kelele na Vigeregere, shangwe TRUMP hawajui kilichopo nyuma yake. Anachanganya mema na mauvu (good and evil) ili kuwachanganya atakapo anza kwasambalatisha msione uovu ulio nyuma yake. TUTAJUA hatujui MPAKA tuseme

Kuna ndoto niliota mfululizo katika siku tofauti kabla hatujaingia mwaka kabla kampeni hazijaanza. KATIKA siku tofauti ndoto tofauti niliota Tanzania inashambuliwa na makombora. Siku nyingin nilion makombora yametumwa bado kutuma Tanzania ipo kimya SISI tupo shuleni TUNAPOKEA tangazo kila mtu ajiponye akimie. KIUMBE sio makombora nilivyo kuwa nikifikiri KUMBE NDIYO HAYA YANAYO KUJA... JIANDAENI HIKI NDICHO KIPINDI AMBACHO TUTAPITUSHWA KATIKA MOTO ILI TUWE WATUMWA WAKAMILIFU ... TUTAPITUSHWA KWENYE MATESO KWA MIAKA KADHAA TUKILETEWA BAADAYE NEW WORLD ORDER HAKUNA ATAKAE BISHA NDIO MPANGO WAO

KUZIMA MOTO ULIO AMKA WA KUJITAMBUA KWA WAAFRIKA NA KUWAFUNGA DAIMA KATIKA UTUMWA CHINI YA HAO (WAITI)

👉Mimi binafsi hata PUTIN simwamini na simpendi ... why?

Putin amekuwa akiwasifia waafrika...na waafrika wanashangilia wakifikilia ni mwenzao... putin ni mjanja waafrika ni wajinga ni kama robot

Anacho fanya putin kwa waafrika tunaita "KUTEKA FIKRA" Mumuone mwenzeni muanze kushirikiana naye... siku kjiingia katika vita na ni mkorofi awatangulize waafrika au apate jeshi la bure kwa waafrika.


NEW WORLD ORDER IS COMING

WAKE UP AND STAY STRONG ..IF WE DIE LET US DIE AND IF WE WIN LET US WIN YEET @everyone
 
👉Matukio yenyewe yanaendana na sayari ya mwaka ambayo ni Sayari ya Mars.. inayo wakilishwa na Rangi nyekundi...rangi ambayo inaashiria MOTO na DAMU

Matukio ya moto wa calfornia ni ishara ya Sayari ya mars ..ikiingia kwenye utawala ...Moto ni alama ya mars.. ni Mungu wa vita ...rangi nyekumdu inawakilisha pia damu, vifo machafuko.

THIS YEAR WILL BE THE GREATEST YEAR
Nimezipenda hizi haya.

Donald Trump yuko sahihi kuipitia misaada upya ikibidi aikate kabisa misaada Afrika au aipunguze.
 
Sahihi sana mkuu dah awa wazungu awa bas tu acha nikae kmy tumwachie mungu tu 🙏🙏🙏
 
👉Mimi binafsi sikumpenda Trump tangu mwanzo si sababu ya chuki hapana ajenda zake si nzuri kwavwatu weusi toka mwanzo. Trump kabla hatujaelekea uchaguzi alitamka kauli ya kwamba "atahakikisha wahamiaji wanaondoshwa America na atahakikisha anazuia wahamiaji kuingia Amerika".. akimaanisa Weupe ndio wakaaji halisi wa America na Weusi ni wahamiaji...kwakuwa yy ni mweupe hawezi kusema kuwa rangi yake ni wahamiaji... wengi watasema hukuelewa kauli vizur james

👉Wakati wa matokeo ya uchaguzi mgombea mpinzani wa Trump huko America alipata karibia kula asilimia 80% za Weusi...wengi walisema Waafrika walimpigia kula kwasababu ya Bangi. Si kweli kabisa... kwani wewe unaishi Amerika?

Muamko wa kiroho wa Waamerica weusi ni mkubwa kuliko muamko wa Nchi za Afrika au weusi waliopo Afrika.

👉Trump amenuia kusitisha misaaada AFRIKA. Kuna athari zitatokea na Afrika itaathirika vibaya mno kama agizo hilo la kusitisha misaada litatekelezwa. Vifo vya watanzania vitaongezeka na Afrika kwa ujumla kwa ARVs zitasitishwa na kama zikipatikana zitauzwa kibiashara inaweza chukua hata laki nne mpaka milion na Waafrika wengi ni masikini. Hii tunaita VITA YA KISASA yenye lengo la Kuwa adabisha WAAFRIKA

Maana waafrika kwasasa wanajifanya wameamka na wanazitukana huduma zetu, tunaleta chanjo wanasema Freemason tunataka kuwaua.

Niwaambie hivi ugonjwa wa HIV wengi waafrika ni wagonjwa na idadi ya wagonjwa ni kubwa Afrika huko AMERICA kwa wazungu ni kama haipo kabisa idadi ni ndogo sana sanaa. Na waafrika hatujui ugonjwa ulitoka wapi ila Idadi kubwa ipo kwetu

Kukitekelezwa agozo hilo... mpaka kufikia mwaka ujao kutakuwa na nafasi nyingi sana za kazi maofisini..idadi kubwa kubwa vya waafrika itapungua miradi biashara nyingi zitasimama, Uchumi utaporomoka AFRIKA itaandamwa na majomzi na vilevile misaada haito kuja. AFRIKA watawasujidia na kuwalilia weupe wawahurumie.

TRUMP ni mtekelezaji wa udugu wa siri unao taka sasa waafrika waache ubishi na wasitishe mambo yao ya kujifanya wameamka wakubali kuwa Roboti na kusalenda kwa weupe ndipo misaada kwa mara ya kwanza itaanza kuletwa na Nchi za kiafrika zitakazo kataa moto wa jehanamu ya maisha duniani utaongezwa na vikwazo juu.

👉Matukio yenyewe yanaendana na sayari ya mwaka ambayo ni Sayari ya Mars.. inayo wakilishwa na Rangi nyekundi...rangi ambayo inaashiria MOTO na DAMU

Matukio ya moto wa calfornia ni ishara ya Sayari ya mars ..ikiingia kwenye utawala ...Moto ni alama ya mars.. ni Mungu wa vita ...rangi nyekumdu inawakilisha pia damu, vifo machafuko.

THIS YEAR WILL BE THE GREATEST YEAR

Wenye nguvu watasalimika

Baada ya Waafrika kunyooshwa.. Ndipo mpangilio wa NWO utaanza wabishi watakuwa wachache

Hii ni vita ya kisasa na Tump ndiye mtekelezaji wake... Watu weusi hawakuwa wajinga Kumpigia kura kwa wingi mpinzani mgombea mwenza wa Trump

Tutashuhudia mengi

Naendelea kusikitika Waafrika mitandaoni wanampigia kelele na Vigeregere, shangwe TRUMP hawajui kilichopo nyuma yake. Anachanganya mema na mauvu (good and evil) ili kuwachanganya atakapo anza kwasambalatisha msione uovu ulio nyuma yake. TUTAJUA hatujui MPAKA tuseme

Kuna ndoto niliota mfululizo katika siku tofauti kabla hatujaingia mwaka kabla kampeni hazijaanza. KATIKA siku tofauti ndoto tofauti niliota Tanzania inashambuliwa na makombora. Siku nyingin nilion makombora yametumwa bado kutuma Tanzania ipo kimya SISI tupo shuleni TUNAPOKEA tangazo kila mtu ajiponye akimie. KIUMBE sio makombora nilivyo kuwa nikifikiri KUMBE NDIYO HAYA YANAYO KUJA... JIANDAENI HIKI NDICHO KIPINDI AMBACHO TUTAPITUSHWA KATIKA MOTO ILI TUWE WATUMWA WAKAMILIFU ... TUTAPITUSHWA KWENYE MATESO KWA MIAKA KADHAA TUKILETEWA BAADAYE NEW WORLD ORDER HAKUNA ATAKAE BISHA NDIO MPANGO WAO

KUZIMA MOTO ULIO AMKA WA KUJITAMBUA KWA WAAFRIKA NA KUWAFUNGA DAIMA KATIKA UTUMWA CHINI YA HAO (WAITI)

👉Mimi binafsi hata PUTIN simwamini na simpendi ... why?

Putin amekuwa akiwasifia waafrika...na waafrika wanashangilia wakifikilia ni mwenzao... putin ni mjanja waafrika ni wajinga ni kama robot

Anacho fanya putin kwa waafrika tunaita "KUTEKA FIKRA" Mumuone mwenzeni muanze kushirikiana naye... siku kjiingia katika vita na ni mkorofi awatangulize waafrika au apate jeshi la bure kwa waafrika.


NEW WORLD ORDER IS COMING

WAKE UP AND STAY STRONG ..IF WE DIE LET US DIE AND IF WE WIN LET US WIN YEET @everyone
Upo KIKATITI huna mbele wala nyuma unakuja andika mambo usiyoyajua unasikia sikia tu toka kwa viongozi wako vilaza.
 
Na nchi nyingi za kiafrika wangefanya kama traore timuaa
Ingekuwa safi
Afrika ndiyo bara lililobaki na linalisha duniaa

Ova
 
Unaishije kwa kutegemea misaada na wakati una rasilimali za kutosha kumzidi anayekupa misaada. Mtu mweusi ni kilaza anajua kulalama tu.
 
👉Mimi binafsi sikumpenda Trump tangu mwanzo si sababu ya chuki hapana ajenda zake si nzuri kwavwatu weusi toka mwanzo. Trump kabla hatujaelekea uchaguzi alitamka kauli ya kwamba "atahakikisha wahamiaji wanaondoshwa America na atahakikisha anazuia wahamiaji kuingia Amerika".. akimaanisa Weupe ndio wakaaji halisi wa America na Weusi ni wahamiaji...kwakuwa yy ni mweupe hawezi kusema kuwa rangi yake ni wahamiaji... wengi watasema hukuelewa kauli vizur james

👉Wakati wa matokeo ya uchaguzi mgombea mpinzani wa Trump huko America alipata karibia kula asilimia 80% za Weusi...wengi walisema Waafrika walimpigia kula kwasababu ya Bangi. Si kweli kabisa... kwani wewe unaishi Amerika?

Muamko wa kiroho wa Waamerica weusi ni mkubwa kuliko muamko wa Nchi za Afrika au weusi waliopo Afrika.

👉Trump amenuia kusitisha misaaada AFRIKA. Kuna athari zitatokea na Afrika itaathirika vibaya mno kama agizo hilo la kusitisha misaada litatekelezwa. Vifo vya watanzania vitaongezeka na Afrika kwa ujumla kwa ARVs zitasitishwa na kama zikipatikana zitauzwa kibiashara inaweza chukua hata laki nne mpaka milion na Waafrika wengi ni masikini. Hii tunaita VITA YA KISASA yenye lengo la Kuwa adabisha WAAFRIKA

Maana waafrika kwasasa wanajifanya wameamka na wanazitukana huduma zetu, tunaleta chanjo wanasema Freemason tunataka kuwaua.

Niwaambie hivi ugonjwa wa HIV wengi waafrika ni wagonjwa na idadi ya wagonjwa ni kubwa Afrika huko AMERICA kwa wazungu ni kama haipo kabisa idadi ni ndogo sana sanaa. Na waafrika hatujui ugonjwa ulitoka wapi ila Idadi kubwa ipo kwetu

Kukitekelezwa agozo hilo... mpaka kufikia mwaka ujao kutakuwa na nafasi nyingi sana za kazi maofisini..idadi kubwa kubwa vya waafrika itapungua miradi biashara nyingi zitasimama, Uchumi utaporomoka AFRIKA itaandamwa na majomzi na vilevile misaada haito kuja. AFRIKA watawasujidia na kuwalilia weupe wawahurumie.

TRUMP ni mtekelezaji wa udugu wa siri unao taka sasa waafrika waache ubishi na wasitishe mambo yao ya kujifanya wameamka wakubali kuwa Roboti na kusalenda kwa weupe ndipo misaada kwa mara ya kwanza itaanza kuletwa na Nchi za kiafrika zitakazo kataa moto wa jehanamu ya maisha duniani utaongezwa na vikwazo juu.

👉Matukio yenyewe yanaendana na sayari ya mwaka ambayo ni Sayari ya Mars.. inayo wakilishwa na Rangi nyekundi...rangi ambayo inaashiria MOTO na DAMU

Matukio ya moto wa calfornia ni ishara ya Sayari ya mars ..ikiingia kwenye utawala ...Moto ni alama ya mars.. ni Mungu wa vita ...rangi nyekumdu inawakilisha pia damu, vifo machafuko.

THIS YEAR WILL BE THE GREATEST YEAR

Wenye nguvu watasalimika

Baada ya Waafrika kunyooshwa.. Ndipo mpangilio wa NWO utaanza wabishi watakuwa wachache

Hii ni vita ya kisasa na Tump ndiye mtekelezaji wake... Watu weusi hawakuwa wajinga Kumpigia kura kwa wingi mpinzani mgombea mwenza wa Trump

Tutashuhudia mengi

Naendelea kusikitika Waafrika mitandaoni wanampigia kelele na Vigeregere, shangwe TRUMP hawajui kilichopo nyuma yake. Anachanganya mema na mauvu (good and evil) ili kuwachanganya atakapo anza kwasambalatisha msione uovu ulio nyuma yake. TUTAJUA hatujui MPAKA tuseme

Kuna ndoto niliota mfululizo katika siku tofauti kabla hatujaingia mwaka kabla kampeni hazijaanza. KATIKA siku tofauti ndoto tofauti niliota Tanzania inashambuliwa na makombora. Siku nyingin nilion makombora yametumwa bado kutuma Tanzania ipo kimya SISI tupo shuleni TUNAPOKEA tangazo kila mtu ajiponye akimie. KIUMBE sio makombora nilivyo kuwa nikifikiri KUMBE NDIYO HAYA YANAYO KUJA... JIANDAENI HIKI NDICHO KIPINDI AMBACHO TUTAPITUSHWA KATIKA MOTO ILI TUWE WATUMWA WAKAMILIFU ... TUTAPITUSHWA KWENYE MATESO KWA MIAKA KADHAA TUKILETEWA BAADAYE NEW WORLD ORDER HAKUNA ATAKAE BISHA NDIO MPANGO WAO

KUZIMA MOTO ULIO AMKA WA KUJITAMBUA KWA WAAFRIKA NA KUWAFUNGA DAIMA KATIKA UTUMWA CHINI YA HAO (WAITI)

👉Mimi binafsi hata PUTIN simwamini na simpendi ... why?

Putin amekuwa akiwasifia waafrika...na waafrika wanashangilia wakifikilia ni mwenzao... putin ni mjanja waafrika ni wajinga ni kama robot

Anacho fanya putin kwa waafrika tunaita "KUTEKA FIKRA" Mumuone mwenzeni muanze kushirikiana naye... siku kjiingia katika vita na ni mkorofi awatangulize waafrika au apate jeshi la bure kwa waafrika.


NEW WORLD ORDER IS COMING

WAKE UP AND STAY STRONG ..IF WE DIE LET US DIE AND IF WE WIN LET US WIN YEET @everyone
Mbona haujampa credit mwandishi wa hili bandiko... 😅😅😅
 
👉Mimi binafsi sikumpenda Trump tangu mwanzo si sababu ya chuki hapana ajenda zake si nzuri kwavwatu weusi toka mwanzo. Trump kabla hatujaelekea uchaguzi alitamka kauli ya kwamba "atahakikisha wahamiaji wanaondoshwa America na atahakikisha anazuia wahamiaji kuingia Amerika".. akimaanisa Weupe ndio wakaaji halisi wa America na Weusi ni wahamiaji...kwakuwa yy ni mweupe hawezi kusema kuwa rangi yake ni wahamiaji... wengi watasema hukuelewa kauli vizur james

👉Wakati wa matokeo ya uchaguzi mgombea mpinzani wa Trump huko America alipata karibia kula asilimia 80% za Weusi...wengi walisema Waafrika walimpigia kula kwasababu ya Bangi. Si kweli kabisa... kwani wewe unaishi Amerika?

Muamko wa kiroho wa Waamerica weusi ni mkubwa kuliko muamko wa Nchi za Afrika au weusi waliopo Afrika.

👉Trump amenuia kusitisha misaaada AFRIKA. Kuna athari zitatokea na Afrika itaathirika vibaya mno kama agizo hilo la kusitisha misaada litatekelezwa. Vifo vya watanzania vitaongezeka na Afrika kwa ujumla kwa ARVs zitasitishwa na kama zikipatikana zitauzwa kibiashara inaweza chukua hata laki nne mpaka milion na Waafrika wengi ni masikini. Hii tunaita VITA YA KISASA yenye lengo la Kuwa adabisha WAAFRIKA

Maana waafrika kwasasa wanajifanya wameamka na wanazitukana huduma zetu, tunaleta chanjo wanasema Freemason tunataka kuwaua.

Niwaambie hivi ugonjwa wa HIV wengi waafrika ni wagonjwa na idadi ya wagonjwa ni kubwa Afrika huko AMERICA kwa wazungu ni kama haipo kabisa idadi ni ndogo sana sanaa. Na waafrika hatujui ugonjwa ulitoka wapi ila Idadi kubwa ipo kwetu

Kukitekelezwa agozo hilo... mpaka kufikia mwaka ujao kutakuwa na nafasi nyingi sana za kazi maofisini..idadi kubwa kubwa vya waafrika itapungua miradi biashara nyingi zitasimama, Uchumi utaporomoka AFRIKA itaandamwa na majomzi na vilevile misaada haito kuja. AFRIKA watawasujidia na kuwalilia weupe wawahurumie.

TRUMP ni mtekelezaji wa udugu wa siri unao taka sasa waafrika waache ubishi na wasitishe mambo yao ya kujifanya wameamka wakubali kuwa Roboti na kusalenda kwa weupe ndipo misaada kwa mara ya kwanza itaanza kuletwa na Nchi za kiafrika zitakazo kataa moto wa jehanamu ya maisha duniani utaongezwa na vikwazo juu.

👉Matukio yenyewe yanaendana na sayari ya mwaka ambayo ni Sayari ya Mars.. inayo wakilishwa na Rangi nyekundi...rangi ambayo inaashiria MOTO na DAMU

Matukio ya moto wa calfornia ni ishara ya Sayari ya mars ..ikiingia kwenye utawala ...Moto ni alama ya mars.. ni Mungu wa vita ...rangi nyekumdu inawakilisha pia damu, vifo machafuko.

THIS YEAR WILL BE THE GREATEST YEAR

Wenye nguvu watasalimika

Baada ya Waafrika kunyooshwa.. Ndipo mpangilio wa NWO utaanza wabishi watakuwa wachache

Hii ni vita ya kisasa na Tump ndiye mtekelezaji wake... Watu weusi hawakuwa wajinga Kumpigia kura kwa wingi mpinzani mgombea mwenza wa Trump

Tutashuhudia mengi

Naendelea kusikitika Waafrika mitandaoni wanampigia kelele na Vigeregere, shangwe TRUMP hawajui kilichopo nyuma yake. Anachanganya mema na mauvu (good and evil) ili kuwachanganya atakapo anza kwasambalatisha msione uovu ulio nyuma yake. TUTAJUA hatujui MPAKA tuseme

Kuna ndoto niliota mfululizo katika siku tofauti kabla hatujaingia mwaka kabla kampeni hazijaanza. KATIKA siku tofauti ndoto tofauti niliota Tanzania inashambuliwa na makombora. Siku nyingin nilion makombora yametumwa bado kutuma Tanzania ipo kimya SISI tupo shuleni TUNAPOKEA tangazo kila mtu ajiponye akimie. KIUMBE sio makombora nilivyo kuwa nikifikiri KUMBE NDIYO HAYA YANAYO KUJA... JIANDAENI HIKI NDICHO KIPINDI AMBACHO TUTAPITUSHWA KATIKA MOTO ILI TUWE WATUMWA WAKAMILIFU ... TUTAPITUSHWA KWENYE MATESO KWA MIAKA KADHAA TUKILETEWA BAADAYE NEW WORLD ORDER HAKUNA ATAKAE BISHA NDIO MPANGO WAO

KUZIMA MOTO ULIO AMKA WA KUJITAMBUA KWA WAAFRIKA NA KUWAFUNGA DAIMA KATIKA UTUMWA CHINI YA HAO (WAITI)

👉Mimi binafsi hata PUTIN simwamini na simpendi ... why?

Putin amekuwa akiwasifia waafrika...na waafrika wanashangilia wakifikilia ni mwenzao... putin ni mjanja waafrika ni wajinga ni kama robot

Anacho fanya putin kwa waafrika tunaita "KUTEKA FIKRA" Mumuone mwenzeni muanze kushirikiana naye... siku kjiingia katika vita na ni mkorofi awatangulize waafrika au apate jeshi la bure kwa waafrika.


NEW WORLD ORDER IS COMING

WAKE UP AND STAY STRONG ..IF WE DIE LET US DIE AND IF WE WIN LET US WIN YEET @everyone
Duuuuh!!
Inabidi uje na somo la NWO, miluzi imekuwa mingi kuhusu hiyo kitu.
On the other side, Trump yupo sawa, acha watu wajifunze kuishi bila msaada. Hakuna shule kubwa kama an empty pocket and empty stomach.
 
Masahihisho kidogo. Waliozuiwa kwenda America sio watu weusi, ni wahamiaji haramu ukijumlisha na weupe wengine kutokea pande zote za dunia. Waliokatiwa misaada sio Africa tu, USAID iko Asia, Latin America, Africa etc. Mambo ya NWO ni next level kwako
 
Maana waafrika kwasasa wanajifanya wameamka na wanazitukana huduma zetu, tunaleta chanjo wanasema Freemason tunataka kuwaua
Nianze kwa kusema: Kuna maeneo nakuunga mkono na baadhi sikubaliani nawe.

Waafrika kwa sasa sio wanajifanya bali wameamka. Kuamka kwangu katika context hii kuna maanisha kuifahamu dunia, unaoshirikiana nao wanavyokutafsiri wewe na kujua jinsi ya kukabiliana nao. Mfano rahisi ni Jinsi Afrika ilivyouangalia mgogoro wa Ukraina na Urusi, na kuchagua jinsi ya kuucheza. Hali kadhalika mgogoro kati ya Israel na Palestina (Gaza). Hayo ni machache tu kuna maeneo mengi ambayo binafsi nimekubaliana jinsi tulivyocheza
Putin amekuwa akiwasifia waafrika...na waafrika wanashangilia wakifikilia ni mwenzao... putin ni mjanja waafrika ni wajinga ni kama robot
Anacho fanya putin kwa waafrika tunaita "KUTEKA FIKRA" Mumuone mwenzeni muanze kushirikiana naye... siku kjiingia katika vita na ni mkorofi awatangulize waafrika au apate jeshi la bure kwa waafrika
Urusi ni Super power, ukubali au usikubali huo ndio ukweli. Urusi au wakati ule Soviet union ilikuwepo afrika ikisaidia nchi zote za Afrika katika mapambano ya kupata uhuru. Putin mwenyewe alikuwepo Tanzania (kikosi cha Bagamoyo 1973) kwa miaka 5 akifundisha wapigania Uhuru.
Baada ya nchi zote kupata uhuru, Urusi ikapunguza uwepo wake Afrika.
Sasa hivi Putin anarudi Afrika, kwanini usimpokee?

Dhana kuwa haaminiki sijui unafikiria nini? Haji Afrika kutangaza Dini. Kwani ushirikiano kati ya nchi na nchi kinachoangaliwa ni Interest tu. wewe unafaidika nini na yeye anafaidika nini. Unaandika: "Anacho fanya putin kwa waafrika tunaita "KUTEKA FIKRA" Ni kweli kabisa! Ni lazima unashawishi kuwa mimi nitafaidika nini na huo mpango wako. Amerika, China, Uturuki, west europe nk wamefanya hivyo hivyo na ndio neno muhimu "INTEREST" linajikita hapo. Hasa wakati huu ambapo Trump anatuamsha.

Uzuri wa nyakati hizi tofauti na zile nyakati za unaurafiki East au west, kuwa sasa hivi unaweza ukawa na urafiki na China wakati huo huo ukawa na urafiki na Amerika au west.Kujitoa kwa Trump ndio fursa kwa wengine kukaribishwa Afrika. ARVs haiko marekani tu, fungua milango huko China, India, Urusi, Uturuki n.k. Watanzania wenzangu msiwe na mawazo mgando, Angalieni Fursa. Teknolojia sasa hivi imekuwa, si lazima uipate uingereza na marekani tu. Afrika leo hii ni Mwali, wote Duniani wanataka kuja kuwekeza Afrika.

Nukuu: "Putin amekuwa akiwasifia..... putin ni mjanja waafrika ni wajinga ni kama robot
- Mumuone mwenzeni muanze kushirikiana naye"
Kila mwamba ngoma huvutia kwake; Kama hukuuelewa msemo huu wa kiswahili, rudi kwa wahenga: Putin anaihitaji Afrika na Afrika inamuhitaji Putin. Na kama utahitaji Afrika ishirikiane na nchi fulani eti kwa kuaminiana kwa asilimia hata 80, nafikiri Afrika itaishi kama kisiwa. Hizo ni fikra duni, kwani kwa fikra hizo (Tanzani) hata majirani zako Kenya, Uganda, Zambia, Msumbiji, Malawi n.k hutashirikiana nazo

NI LAZIMA TUTUMIE HIZI FURSA ZOTE ili tusonge mbele na tuwe imara.
 
Nianze kwa kusema: Kuna maeneo nakuunga mkono na baadhi sikubaliani nawe.

Waafrika kwa sasa sio wanajifanya bali wameamka. Kuamka kwangu katika context hii kuna maanisha kuifahamu dunia, unaoshirikiana nao wanavyokutafsiri wewe na kujua jinsi ya kukabiliana nao. Mfano rahisi ni Jinsi Afrika ilivyouangalia mgogoro wa Ukraina na Urusi, na kuchagua jinsi ya kuucheza. Hali kadhalika mgogoro kati ya Israel na Palestina (Gaza). Hayo ni machache tu kuna maeneo mengi ambayo binafsi nimekubaliana jinsi tulivyocheza

Urusi ni Super power, ukubali au usikubali huo ndio ukweli. Urusi au wakati ule Soviet union ilikuwepo afrika ikisaidia nchi zote za Afrika katika mapambano ya kupata uhuru. Putin mwenyewe alikuwepo Tanzania (kikosi cha Bagamoyo 1973) kwa miaka 5 akifundisha wapigania Uhuru.
Baada ya nchi zote kupata uhuru, Urusi ikapunguza uwepo wake Afrika.
Sasa hivi Putin anarudi Afrika, kwanini usimpokee?

Dhana kuwa haaminiki sijui unafikiria nini? Haji Afrika kutangaza Dini. Kwani ushirikiano kati ya nchi na nchi kinachoangaliwa ni Interest tu. wewe unafaidika nini na yeye anafaidika nini. Unaandika: "Anacho fanya putin kwa waafrika tunaita "KUTEKA FIKRA" Ni kweli kabisa! Ni lazima unashawishi kuwa mimi nitafaidika nini na huo mpango wako. Amerika, China, Uturuki, west europe nk wamefanya hivyo hivyo na ndio neno muhimu "INTEREST" linajikita hapo. Hasa wakati huu ambapo Trump anatuamsha.

Uzuri wa nyakati hizi tofauti na zile nyakati za unaurafiki East au west, kuwa sasa hivi unaweza ukawa na urafiki na China wakati huo huo ukawa na urafiki na Amerika au west.Kujitoa kwa Trump ndio fursa kwa wengine kukaribishwa Afrika. ARVs haiko marekani tu, fungua milango huko China, India, Urusi, Uturuki n.k. Watanzania wenzangu msiwe na mawazo mgando, Angalieni Fursa. Teknolojia sasa hivi imekuwa, si lazima uipate uingereza na marekani tu. Afrika leo hii ni Mwali, wote Duniani wanataka kuja kuwekeza Afrika.

Nukuu: "Putin amekuwa akiwasifia..... putin ni mjanja waafrika ni wajinga ni kama robot
- Mumuone mwenzeni muanze kushirikiana naye"
Kila mwamba ngoma huvutia kwake; Kama hukuuelewa msemo huu wa kiswahili, rudi kwa wahenga: Putin anaihitaji Afrika na Afrika inamuhitaji Putin. Na kama utahitaji Afrika ishirikiane na nchi fulani eti kwa kuaminiana kwa asilimia hata 80, nafikiri Afrika itaishi kama kisiwa. Hizo ni fikra duni, kwani kwa fikra hizo (Tanzani) hata majirani zako Kenya, Uganda, Zambia, Msumbiji, Malawi n.k hutashirikiana nazo

NI LAZIMA TUTUMIE HIZI FURSA ZOTE ili tusonge mbele na tuwe imara.
🙏🙏🙏
 
akimaanisa Weupe ndio wakaaji halisi wa America na Weusi ni wahamiaji...kwakuwa yy ni mweupe hawezi kusema kuwa rangi yake ni wahamiaji...

Anapambana na wakaaji haramu na si vinginevyo...
 
Back
Top Bottom