SHARO GANGSTAR
Member
- Jan 11, 2015
- 14
- 7
Hii ndiyo zawadi aliyopewa Mose Iyobo na Diamond na ameandika maneno haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheni na Saa..Cheni au saa?sijaelewa
Ndo linini ilo
redgold tomato sauce mwanawaneNdo linini ilo mwanawane
Hahahahhahaharedgold tomato sauce mwanawane
?
kaulize vizuri huko ulikosikia ndo uje na habari kamili hapaNasikia babu K kampiga kibuti Jokate
Nasikia babu K kampiga kibuti Jokate
Hahahaharedgold tomato sauce mwanawane
Uko sawa ni cheni na saa ndio zilizo tokea kwenye picha naona hereni,kipini cha puani na kicheni cha mguu ndio havi kutokea picha ndogo.Cheni au saa?sijaelewa
"Kesho uje utuzawadie ata ma-Lamborgini na ma-Ferarri,Inshallah"
Mwisho wa kunukuu..
YNWA.