Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kuwa kichaa sio lazima uvue nguoIkitokea Simba kesho imemfunga TP Mazembe. Mimi ntaponda ponda mapumbu yangu kwa nyundo yawe kama uji. Moderators muuache uzi huu nisipoweka ushahidi wa picha hiyo za mapumbu nliyoponda ponda mnifungie siku 3. Kwa kosa la kusema Uongo
NAOMBA MODS, SIMBA IKISHINDA HUYU JAMAA MPE BAN YA MAISHA
Mkuu rejea somo la tamathali za semi,itakusaidia kupunguza ukali wa maneno
ha ha ha kufungiwa siku 3 mbona adhabu ndogo hivyoo.
mkuu mapumbu yanaumuhimu sana bora ung'oe meno Mapumbu yabaki.
Hahaha kuna mtu alitoaga ahadi ya kunya watu walimzibua kishenziIkitokea Simba kesho imemfunga TP Mazembe. Mimi ntaponda ponda mapumbu yangu kwa nyundo yawe kama uji. Moderators muuache uzi huu nisipoweka ushahidi wa picha hiyo za mapumbu nliyoponda ponda mnifungie siku 3. Kwa kosa la kusema Uongo