Hii ndo ilikuwa Congo ya Mobutu Sese Seko

Hii ndo ilikuwa Congo ya Mobutu Sese Seko

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Amani iwe nanyi

Nimeambatanisha na video ya documentary ya Mobutu Sese Seko, aliyekuwa Raisi wa Congo ( Zaire) ili wajumbe mjionee wenyewe

Nilichogundua kutoka kwenye documentary hii ambayo ina sub-title ya kiingereza ni kuwa

1. Mobutu alitengeneza kundi kubwa sana la wanafiki waliokuwa wanajifanya wanamuabudu kama Mungu kumbe ni binadamu tu

2. Wasanii wa Congo walifika hatua ya kutunga nyimbo za kumsifu na kumuabudu Mobutu Sese Seko. Nyimbo hizi ziliimbwa hadi kwenye halfa za kiserikali na shughuli za Chama chake.

3. Mobutu alipaendeleza sana kijijini kwake na kupaweka kifahari

4. Mobutu alipenda sana kusifiwa na kuwatawala watu hadi kwenye mambo yao binafsi. Alihusudu sana kuogopwa na alijiona yeye ndo kila kitu.

5. Chama tawala enzi zake kilimuona kama Mungu na kuwakebehi wapinzani wake na hata kuwaua na kuwapoteza wengine kwa kupitia vikosi vya ulinzi na usalama

6. Majina halisi ya Mobutu yalikuwa Joseph Mobutu

7. Mobutu alitumia uzalendo Kama silaha ya kuangamiza wakosoaji wake.

Na mwisho

Ukweli ulikuja kmuangusha Mobutu Sese Seko kuwa si lolote si chochote!

Baada ya kuangalia documentary hii, nimehitimisha kuwa kumbe hakuna jipya chini ya Jua. Yote ni marudio tu!

Kama una bundle la kutosha angalia mwenyewe👇



cc: Salary Slip Erythrocyte Sky Eclat residentura Mshana Jr Crimea Wakudadavuwa YEHODAYA GENTAMYCINE Victoire
 
Nitaanza kukuombea angalau msongo wa mawazo ulionao kutokana na kipigo cha October 28th ukutoke, usikute tunakuchukulia pouwa kumbe upo katika stage za mwishoni kuchanganyikiwa.
 
Amani iwe nanyi

Nimeambatanisha na video ya documentary ya Mobutu Sese Seko, aliyekuwa Raisi wa Congo ( Zaire) ili wajumbe mjionee wenyewe

Nilichogundua kutoka kwenye documentary hii ambayo ina sub-title ya kiingereza ni kuwa

1. Mobutu alitengeneza kundi kubwa sana la wanafiki waliokuwa wanajifanya wanamuabudu kama Mungu kumbe ni binadamu tu

2. Wasanii wa Congo walifika hatua ya kutunga nyimbo za kumsifu na kumuabudu Mobutu Sese Seko. Nyimbo hizi ziliimbwa hadi kwenye halfa za kiserikali na shughuli za Chama chake.

3. Mobutu alipaendeleza sana kijijini kwake na kupaweka kifahari

4. Mobutu alipenda sana kusifiwa na kuwatawala watu hadi kwenye mambo yao binafsi. Alihusudu sana kuogopwa na alijiona yeye ndo kila kitu.

5. Chama tawala enzi zake kilimuona kama Mungu na kuwakebehi wapinzani wake na hata kuwaua na kuwapoteza wengine kwa kupitia vikosi vya ulinzi na usalama

6. Majina halisi ya Mobutu yalikuwa Joseph Mobutu

7. Mobutu alitumia uzalendo Kama silaha ya kuangamiza wakosoaji wake.

Na mwisho

Ukweli ulikuja kmuangusha Mobutu Sese Seko kuwa si lolote si chochote!

Baada ya kuangalia documentary hii, nimehitimisha kuwa kumbe hakuna jipya chini ya Jua. Yote ni marudio tu!

Kama una bundle la kutosha angalia mwenyewe👇


cc: Salary Slip Erythrocyte Sky Eclat residentura Mshana Jr Crimea Wakudadavuwa YEHODAYA GENTAMYCINE Victoire

Lord Atkin
 

Attachments

Ule siyo uchaguzi upimbi mmefanya wenzako wameshanyamaza we bado unakata mauno humu kwa ushindi feki

Nawaonea huruma jamani mtaendelea kuomboleza mpaka lini?

Jipangeni kwa 2025.
 
role model wa jiwe ni mobutu , mobutu nae alishindwa kwa asilimia 99% alipoulizwa na waandishi akajibu “uchaguzi ulikuwa mgumu mno ilikuwa vigumu kuwashawishi wananchi kwamba uchaguzi ni karatasi mbili ya kupinga na kukubali,wao waliamini mimi tu ndio nafaa”
Kweli Mungu fundi. Eneo la maziwa Makuu anazungusha watu walewale ili tujue ukuu wake
 
Nitaanza kukuombea angalau msongo wa mawazo ulionao kutokana na kipigo cha October 28th ukutoke, usikute tunakuchukulia pouwa kumbe upo katika stage za mwishoni kuchanganyikiwa.
Kweli kwa Yale makura ya wiz isingewezekana
 

Attachments

  • 2604112-53e5c4e7e1017bceed0cdad1d4e50a43.mp4
    13.9 MB
H
Nawaonea huruma jamani mtaendelea kuomboleza mpaka lini?

Jipangeni kwa 2025.
Huruma ipeleke kwa mungu wako wa chato maana wadhani kuwa inawezekana kujifanya mungu wa Tanzania na kutawala milele

Hakuna jipya hapa duniani muhurumie anko wako pimbi wewe
 
H

Huruma ipeleke kwa mungu wako wa chato maana wadhani kuwa inawezekana kujifanya mungu wa Tanzania na kutawala milele

Hakuna jipya hapa duniani muhurumie anko wako pimbi wewe
Hata mwezi bado sasa mpaka miaka 5 ipite si mtaokota makopo...hebu jifunzeni ku let it go na mjipange kwa 2025.

Muhimu acheni siasa za kiharakati mje kwenye siasa za kimifumo kuanzia shina hadi Taifa, hata mbuyu huanzia mizizi chini ndo unakwenda juu na kuwa mpana.
 
Amani iwe nanyi

Nimeambatanisha na video ya documentary ya Mobutu Sese Seko, aliyekuwa Raisi wa Congo ( Zaire) ili wajumbe mjionee wenyewe

Nilichogundua kutoka kwenye documentary hii ambayo ina sub-title ya kiingereza ni kuwa

1. Mobutu alitengeneza kundi kubwa sana la wanafiki waliokuwa wanajifanya wanamuabudu kama Mungu kumbe ni binadamu tu

2. Wasanii wa Congo walifika hatua ya kutunga nyimbo za kumsifu na kumuabudu Mobutu Sese Seko. Nyimbo hizi ziliimbwa hadi kwenye halfa za kiserikali na shughuli za Chama chake.

3. Mobutu alipaendeleza sana kijijini kwake na kupaweka kifahari

4. Mobutu alipenda sana kusifiwa na kuwatawala watu hadi kwenye mambo yao binafsi. Alihusudu sana kuogopwa na alijiona yeye ndo kila kitu.

5. Chama tawala enzi zake kilimuona kama Mungu na kuwakebehi wapinzani wake na hata kuwaua na kuwapoteza wengine kwa kupitia vikosi vya ulinzi na usalama

6. Majina halisi ya Mobutu yalikuwa Joseph Mobutu

7. Mobutu alitumia uzalendo Kama silaha ya kuangamiza wakosoaji wake.

Na mwisho

Ukweli ulikuja kmuangusha Mobutu Sese Seko kuwa si lolote si chochote!

Baada ya kuangalia documentary hii, nimehitimisha kuwa kumbe hakuna jipya chini ya Jua. Yote ni marudio tu!

Kama una bundle la kutosha angalia mwenyewe👇


cc: Salary Slip Erythrocyte Sky Eclat residentura Mshana Jr Crimea Wakudadavuwa YEHODAYA GENTAMYCINE Victoire


mwaka huu utaandika articles zote mpaka vidole vitoke six packs, nyie eteni majina yote! alafu kama huna taarifa jiandae ujenzi mpya reli kuanzia dar mpaka angola, akitoka magu achukue mwingine tena wa ccm, maisha matam nyie achen tu
 
Hata mwezi bado sasa mpaka miaka 5 ipite si mtaokota makopo...hebu jifunzeni ku let it go na mjipange kwa 2025.

Muhimu acheni siasa za kiharakati mje kwenye siasa za kimifumo kuanzia shina hadi Taifa, hata mbuyu huanzia mizizi chini ndo unakwenda juu na kuwa mpana.

2025 magu ndo anmpigia kampeni anaefuata apa wajiandae mpaka 2035, sjui ata kama watakuepo tena
 
Amani iwe nanyi

Nimeambatanisha na video ya documentary ya Mobutu Sese Seko, aliyekuwa Raisi wa Congo ( Zaire) ili wajumbe mjionee wenyewe

Nilichogundua kutoka kwenye documentary hii ambayo ina sub-title ya kiingereza ni kuwa

1. Mobutu alitengeneza kundi kubwa sana la wanafiki waliokuwa wanajifanya wanamuabudu kama Mungu kumbe ni binadamu tu

2. Wasanii wa Congo walifika hatua ya kutunga nyimbo za kumsifu na kumuabudu Mobutu Sese Seko. Nyimbo hizi ziliimbwa hadi kwenye halfa za kiserikali na shughuli za Chama chake.

3. Mobutu alipaendeleza sana kijijini kwake na kupaweka kifahari

4. Mobutu alipenda sana kusifiwa na kuwatawala watu hadi kwenye mambo yao binafsi. Alihusudu sana kuogopwa na alijiona yeye ndo kila kitu.

5. Chama tawala enzi zake kilimuona kama Mungu na kuwakebehi wapinzani wake na hata kuwaua na kuwapoteza wengine kwa kupitia vikosi vya ulinzi na usalama

6. Majina halisi ya Mobutu yalikuwa Joseph Mobutu

7. Mobutu alitumia uzalendo Kama silaha ya kuangamiza wakosoaji wake.

Na mwisho

Ukweli ulikuja kmuangusha Mobutu Sese Seko kuwa si lolote si chochote!

Baada ya kuangalia documentary hii, nimehitimisha kuwa kumbe hakuna jipya chini ya Jua. Yote ni marudio tu!

Kama una bundle la kutosha angalia mwenyewe👇


cc: Salary Slip Erythrocyte Sky Eclat residentura Mshana Jr Crimea Wakudadavuwa YEHODAYA GENTAMYCINE Victoire


alafu kuna taarifa nliskia mobutu alikua hapendi kuachia uenyekiti wa chama chake pia sjajua kama ni kweli? ni taarifa za chini chini jaman
 
Back
Top Bottom