Hii ndo mistari ya bongo fleva iliyoandikwa na mwanafunzi wakati akifanya mitihani ya kidato cha 4


bange bana.....bange mbaya sana!!
Hao majita ndo walikuwa wanamlipia ada? Nyambaf kabisa!!
 
aisee huyu dogo kala msuba
au alikuwa anasepa kila kipindi
hakai darasani.lol
amemkatisha sana mzazi wake tamaa jamanii
ngoja nisiseme sana maana wangu
yupo njiani ,naomba mungu tu isiwe hivi
 

Matunda ya shule kukosa walimu ndiyo haya. Yatasemwa mengi lakini daima tunasikia malalamiko shule hazina walimu, na hivyo watoto wanakuwa na muda mrefu wa kutunga mashairi.
 


fafanu mkuu.. Kama una siri nzito.
 


true....
 
Elimu sio kwa ajili ya kila mtu,huyu wito wake uko kwenye Mic.
Tatizo yuko kwenye nchi ambayo mfumo unalazimisha kila mtu kufuata mkondo mmoja,
ndio maana wengine hata vyuoni wanakariri ili mradi tu apate cheti akatafute kazi ili aishi.

Wangekuwa wanambadala karibu nusu ya wanafunzi walioko vyuoni bongo wasingekuwepo,ila wengi wao wapo kwa sababu hakuna alternative.

Unakuta mtu anachagua course kwa kuangalia wanalipwa kiasi gani!!!
 
hii ni hasara kwa mzazi na hizi shule za kata hizi ziangaliwe sana coz nakumbuka mwaka juzi alifaulu mtoto wa ndugu yangu mmoja nilishangaa san coz alikua hajui hata kuandika jina lake lkn alifaulu unategemea huko mbele anafanya nn si ndio wanaandika bongo fleva?
 
Eti waziri wao ni Shukuru Jumanne Kawambwa! Kilaza wa kitaifa.
 
CHA Kushangaza mtoto anakuwa anapaka 2,5, hata zero mzazi hafuatilii... Wazazi wanafkiria kusomesha ni kulipa Ada. Mzazi kwenye masuala ya maendeleo ya mwanaye haendi Shule lakini Sijui kasikia toto lake limechapwa bakora anakuwa na povu mdomoni walimu wameyasusa manunda YENU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…