Wazazi wa siku hizi hawataki kulea watoto wao! Sio wababa wala wamama, kukimbizana na starehe za mjini jumatatu hadi jumatatu!
Kila mtu anavuna alichopanda, I'm sure report cards za mtoto kama huyu zilikuwa kila temu zimeandikwa na kupelekwa kwa mzazi.
Katibu mtendaji mkuu wa baraza hilo Dr Joyce Ndalichako amesema mmoja kati ya wanafunzi waliofanya mtihani huo alifikia hatua ya kuandika mashairi ya bongo fleva baada ya kukosa cha kujibu ambapo aliandika :nashukuru sana wote wanaosahihisha huu mtihani wangu, nitakapofeli nitaendelea na fani yangu ya bongo fleva, majita yangu yako levo za juu na sio East zuu, ukiona vyaelea ujue vimeundwa
Joyce amesema mtahiniwa aliandika mistari katika kila sehemu alipotakiwa kujibu swali, swali la sita na la saba aliandika hiyo mistari hapo juu, swali la kumi na moja ameandika......
CHANZO <<<HAPA>>>
not real sad mwanakijiji wanavuna walichopanda pale baraza akuna uozo mkubwa wa kugawa mitihani ,,,mchezo mchafu huyo mama akiwa mmoja wao na wanawapa watu kadhaa wakitoa maelekezo kiasi kadhaa
sasa mpaka ana fika fm4 ni mkubwa ameona upumbavu wakila siku wa barza hilo akaona kwa nini asiwape mistari tu wakafie nayo mbele ya safai unafikiri huyu mtoto kufanya hivyo mwisho wa maisha..nop...
HUYO MAMA ANATAKIWA ASEMA WAZI VYANZO VYA MITIHANI KUVUJA NA KWA NINI WATU WANAKUTWA WAMEANDIKA MAJIBU YANAFANANAA KAMA SI MICHEZO MICHAFU YA WALIMU
Unamuongelea hasa mzazi gani? maana usije ukawajumlisha na wale wa kwetu ambao uwezo wao umeishia kutupeleka shule ya kata, mwalimu mmoja masomo yooote, hakuna kitabu cha kiada wala ziada, hakuna maabara, hakuna madawati. Report card ikija nimfanyeje mtoto sasa?
sekta yetu ya elimu jamani inasikitisha, aseme tu yule ambaye haya madhara hayajamgusa kwa njia moja au nyengine,
Navyoandika hapa namfikiria binti ambaye yuko so eager to learn na mzazi uwezo ndo umeishia shule ya kata, kesho sitashtuka akiandika madudu zaidi ya hayo kwenye majibu yake.
Huyu mtoto wamwingize katika kili Music Award anaweza kupata tunzo.
Sio Dogo Janja huyu? au yeye bado hajafanya mtihani?
CHA Kushangaza mtoto anakuwa anapaka 2,5, hata zero mzazi hafuatilii... Wazazi wanafkiria kusomesha ni kulipa Ada. Mzazi kwenye masuala ya maendeleo ya mwanaye haendi Shule lakini Sijui kasikia toto lake limechapwa bakora anakuwa na povu mdomoni walimu wameyasusa manunda YENUWazazi wa siku hizi hawataki kulea watoto wao! Sio wababa wala wamama, kukimbizana na starehe za mjini jumatatu hadi jumatatu!
Kila mtu anavuna alichopanda, I'm sure report cards za mtoto kama huyu zilikuwa kila temu zimeandikwa na kupelekwa kwa mzazi.