Ankooo naomba nikupe salaam.....mmmmh, anko huyu mfilisi niunganishe naye mimi mfilisiti
Ankooo naomba nikupe salaam
Itakuwaaaa vizuriii....salamu nakusalimia anko na kama unazo salamu zangu basi weekend tukutane mjini tuangushe moja moja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aamke akamwage mkojo aliokojoa kwenye kopo kwanza kabla ya kwenda kukinga maji [emoji2][emoji2]
kazaliwa kwenye pesa hahaaaHaahhahahaa huyo mwanamke kazaliwa kwenye pesa au kazitafuta tuanze hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hamna Magomeni makanya kwa bibi nyauUkiwa magomeni mapipa
Extra largesize ya kati au extra large?
vipi gongo unatumia?Extra large
Situmii we unatumia ?vipi gongo unatumia?
hapana aisee.kama hatumii gongo basi wewe sio mleviSitumii we unatumia ?
yap lakini mara nyingi ni wale wa familia za kishuaHuyo mke unaemsema ni hawahawa wanawake zetu wa kitanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona Kama umepanick bromzee mimi hata nikilala mwezi mzima hela inaingia tu kwenye akaunti yangu mimi kazi yangu ni kupiga simu tu
hamna sijapanick mzee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona Kama umepanick bro