Hii ndo sababu maalumu kuwa kwanini watu wema huwa wanakufa mapema na wabaya wanaishi miaka mingi

Hii ndo sababu maalumu kuwa kwanini watu wema huwa wanakufa mapema na wabaya wanaishi miaka mingi

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
NB

Nitakayoandika hapa ni kutokana na Imani yangu na utafiti wangu.

"Kwanini watu wazuri hufa mapema na wabaya wanaishi miaka mingi ".

Hapa dunia kuna kitu kinaitwa Purpose ( Kusudio) na ndani ya hilo kusudio there's a mission kuna mission ambayo binadamu amekuja kuifanya hapa duniani.

Binadamu anapokamilisha mission yake hata Kama Ana miaka 30 ataondoka duniani "MAPEMA".

Ukifatilia watu makatili na useless people ndo huwa wanaongoza kuishi miaka mingi Sana ukilinganisha na watu wema .

Hii ni kwakuwa huwa hawaishi katika purpose yao hivyo nature au universe huwa inawapa

Watu wabaya hupewa miaka mingi ili wafanikiwe kutimiza kisudio lao.
 
Ukikamilisha mission yako mapema utaondoka mapema

Kuhusu wema ni kutenda na ubaya ni kutenda.
Mwema kwako anaweza kuwa mbaya na asiyefaa kwa mwingine so akiondoka mapema au akiishi sana bado wema au ukatili haitakuwa sababu
Ni mda ukifika utakufa basi hata kipimo Cha "mapema"bado hakipo Bali ni wakati wako umefika
 
Kujiweza katika nini .

Maana mtu akitenda wema anakuwa anaishi katika two realm kitu ambacho watu wabaya ,useless people n.k hawawezi.



watenda mema kila muda ..huruma ..wanasidia watu ...sio wachoye mbona wengi hawajiwezi
Nature yao inasemaje?
 
Wote wanakufa uwe mwema au mbaya. Ila akifa mwema inaleta attention kubwa hence kuonekana wema ndo wanakufa. But wabaya nao wanakufa sema akifa mbaya no body care
 
NB

Nitakayoandika hapa ni kutokana na Imani yangu na utafiti wangu.


"Kwanini watu wazuri hufa mapema na wabaya wanaishi miaka mingi ".



Hapa dunia kuna kitu kinaitwa Purpose ( Kusudio) na ndani ya hilo kusudio there's a mission kuna mission ambayo binadamu amekuja kuifanya hapa duniani.



Binadamu anapokamilisha mission yake hata Kama Ana miaka 30 ataondoka duniani "MAPEMA".

Ukifatilia watu makatili na useless people ndo huwa wanaongoza kuishi miaka mingi Sana ukilinganisha na watu wema .

Hii ni kwakuwa huwa hawaishi katika purpose yao hivyo nature au universe huwa inawapa


Watu wabaya hupewa miaka mingi ili wafanikiwe kutimiza kisudio lao.
Si kweli,

Kusudi la Muumba ndani ya kila moja ni kuishi na kuwa baraka kwa wengine na sio kufa.Rejea

Mhubiri 3:11
Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.

Ila maisha ya roho,nafsi na mwili ikafanya watu waweze kuishi maisha ya wengine tofauti na alivyokusudia Muumba.Ndo kikatokea kitu kinaitwa dunia na ulimwengu,yaani ukiwa mwaminifu unachukiwa na ukiwa janja janja unapendwa.

Wenye haki ndo walikuwa kuni kwenye jiko la mfumo wa dunia na ulimwengu.ukiona yeyote ametolewa kafara jua alikuwa mwenyehaki na sio kwamba alikuwa ametimiza kusudi lake NO.
 
NB

Nitakayoandika hapa ni kutokana na Imani yangu na utafiti wangu.

"Kwanini watu wazuri hufa mapema na wabaya wanaishi miaka mingi ".

Hapa dunia kuna kitu kinaitwa Purpose ( Kusudio) na ndani ya hilo kusudio there's a mission kuna mission ambayo binadamu amekuja kuifanya hapa duniani.

Binadamu anapokamilisha mission yake hata Kama Ana miaka 30 ataondoka duniani "MAPEMA".

Ukifatilia watu makatili na useless people ndo huwa wanaongoza kuishi miaka mingi Sana ukilinganisha na watu wema .

Hii ni kwakuwa huwa hawaishi katika purpose yao hivyo nature au universe huwa inawapa

Watu wabaya hupewa miaka mingi ili wafanikiwe kutimiza kisudio lao.
So Ibrahim alikuwa muovu Sio?
 
NB

Nitakayoandika hapa ni kutokana na Imani yangu na utafiti wangu.

"Kwanini watu wazuri hufa mapema na wabaya wanaishi miaka mingi ".

Hapa dunia kuna kitu kinaitwa Purpose ( Kusudio) na ndani ya hilo kusudio there's a mission kuna mission ambayo binadamu amekuja kuifanya hapa duniani.

Binadamu anapokamilisha mission yake hata Kama Ana miaka 30 ataondoka duniani "MAPEMA".

Ukifatilia watu makatili na useless people ndo huwa wanaongoza kuishi miaka mingi Sana ukilinganisha na watu wema .

Hii ni kwakuwa huwa hawaishi katika purpose yao hivyo nature au universe huwa inawapa

Watu wabaya hupewa miaka mingi ili wafanikiwe kutimiza kisudio lao.
Kwanza kabisa, weka data kuthibitisha watu wema hufa mapema na wabaya huchelewa kufa.
 
NB

Nitakayoandika hapa ni kutokana na Imani yangu na utafiti wangu.
.

Hii ni kwakuwa huwa hawaishi katika purpose yao hivyo nature au universe huwa inawapa

Watu wabaya hupewa miaka mingi ili wafanikiwe kutimiza kisudio lao.
Hii mimi huwa naiweka kama hupewa miaka mingi ili wapate nafasi ya kutubu mabaya waliyotenda(hii ni kwa wanaoamini kuna maisha baada ya haya)
 
Kujiweza katika nini .
I meant they do good ..go to church ..avould evil but end up being poor .
Why does nature don't favor them
Does it mean they too naive that they get oppressed by other people bcz they can't realize their potential in them na nature haiwasupport
( Sijui nimeuliza vzr umeelewa)
Maana mtu akitenda wema anakuwa anaishi katika two realm kitu ambacho watu wabaya ,useless people nk
Which two realm
 
Back
Top Bottom