Hii ndo situation ....

Hii imenipita sana sijui nilikuwa wapi kha!!!

sitaki kurudia waliyosema
 
Hii imenipita sana sijui nilikuwa wapi kha!!!

sitaki kurudia waliyosema

Hi sis
usijali my dear
naelewa ulivyokuwa busy
Anyway maza alikuwa anauliza kama unakuja home
kwa easter... Hembu ingia skpe kwanza mmmmmhhh
 
Hi sis
usijali my dear
naelewa ulivyokuwa busy
Anyway maza alikuwa anauliza kama unakuja home
kwa easter... Hembu ingia skpe kwanza mmmmmhhh

So unaenda kulipasua jipu AD.....:nerd:
 
Nawahi kabia kamoja...will be here kesho....

kamoja tu mmmhhh
hakikisha unakunywa maji ya baraka
ya kutosha maana maduka yote yanayouza
hayo maji yatakuwa yamefungwa kwa siku tatu..
mmmhhhhh kumbuka ngamia anabeba maji yake jangwani..
hahahahah lol
goodnite
 
Mwambie Catherine atuandalie dinner basi lol

hahahahahahaha lol
haya ntafanya hivyo mmhh
unakumbu kumbu wewe balaaa

ti kidude cha thanx kimeenda wapi jamani ???
nway ngoja ni busu godoro na kukumbatia mto..
nite nite....
 
hahahahahahaha lol
haya ntafanya hivyo mmhh
unakumbu kumbu wewe balaaa

ti kidude cha thanx kimeenda wapi jamani ???
nway ngoja ni busu godoro na kukumbatia mto..
nite nite....
Ahaa ahaa unafikiri nimesahau nite nite
 
mh! me naona huyo wifi anyamaze asimwambia mke wa kaka yake,
 
Naona mshamaliza wenyewe....binafsi ningefanya kuongea na kaka yangu kwanza ...kumwambia wifi ingekua kitu cha mwisho kabisa baada ya kuona hamna matuamaini ya kaka kuachana na huyo nyumba ndogo wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…