Hi sis
usijali my dear
naelewa ulivyokuwa busy
Anyway maza alikuwa anauliza kama unakuja home
kwa easter... Hembu ingia skpe kwanza mmmmmhhh
wakaribishwa na wewe my dear
lakini uache uoga hahahah lol
Kama DIVAI ipo nakuja.na wewe pia...
mmmhhhkaribu
Nawahi kabia kamoja...will be here kesho....
Mwambie Catherine atuandalie dinner basi lolmmmhhh
kwa ajili yako na mvinyo utapatikana
hahahah lol
Ahaa ahaa unafikiri nimesahau nite nitehahahahahahaha lol
haya ntafanya hivyo mmhh
unakumbu kumbu wewe balaaa
ti kidude cha thanx kimeenda wapi jamani ???
nway ngoja ni busu godoro na kukumbatia mto..
nite nite....