angelique jolie
Senior Member
- Jul 1, 2013
- 101
- 14
"NINA MISTARI MIKALI HADI LWANDA ANANIONEA GERE"
"MUZIKI NIMEUANZA KALE HADI LEO SIJAITWA PEPE"
"NINA MISTARI MIKALI HADI GEORGE ANARUDI BUSH"
"BONGO INA JUA LA UTOSI HADI JUMA ANAKOSA NATURE"
NB: Hiyo ndo mistari ya msanii wako unayemuaminia ipo kwenye verse moja hivi,wenyewe mnaiita 'mistari kwenzi' heeheehee....!!!
thanx, u make ma day, nimecheka sana
Salu T ni one of dope of Mc in Tz lakini hafai kua hata kwenye 20 kwasababu jamaa baada ya Chunga sana amekua kimya.
Pigen kelele ila ukwel fid q ndo nambari moko tanzania kwa hphop
Yaani Profesa Jay anakaa chini ya Hashim Dogo na Salu T?Hii commedy sasa
Mtazamo wangu huwezi kumsogeza prof j kwa bogo mwanaharamu ww
Salu T ni one of dope of Mc in Tz lakini hafai kua hata kwenye 20 kwasababu jamaa baada ya Chunga sana amekua kimya.
Salu T hafanyi muziki kama biashara anafanyia hobby tu na bado ni best sana....
Salu T hafanyi muziki kama biashara anafanyia hobby tu na bado ni best sana....
Kuna kurap na kubwata ma raper na ma rapper.
My List.
1.P da Mcee
2.Nash Mcee
3.Young Killer ni mchanga lkn ana tone ya hip hop
4.Jay Mo
5.Chindo Man
6.Nikki Mbishi
7.Stereo
8.One Incredible
9.Nikki wa pili
10.Saigon hoi kalinye kalinye King kong 3 shotta
aka2030 hapo kwenye mabano,unanilazimisha niingie tena darasan,nikufundishe ww na wajanja wenzio msiojua kutofautisha kati ya wimbo na nyimbo.Sema wewe (hiyo nyimbo) ndio unaijua mimi na nyimbo zake zaidi ya 8 kuna nyota imepotea kuna inaweza tokea ngoja ntakusendia baadaye kijana kwa bbm