1. Fid Q
2.Young killer
3.Kala Jeremiah
4.Prof J
5.Stamina
6.Nick wa pili
7.Roho saba
8.Bonta
9.Darasa
10.Wagosi wa kaya
Ya kwangu mm
1.watengwa(chindo man & jcb)
2.xplastars( R.I.P father Nelly)
3.Baloz
4.sugu
5.stoppa
6.fid q
7.j moe
8.G nako
9.zavara
10.Imamu Abbas
Unamjuwa Saadat wa kundi la waswahili...
nani amrithi osama ama bush akianguka/
nani amrithi bill gates ubongo wake ukichujuka/
sokoine kaenda zake,
kaibeba roho yake sifa na wasifu wake
aliyeziba pengo labda malaika wake
jiulize cku aki2toka amini dada
je uganda italia japo hakuwa na msada?
huyu jamaa sijui kapotelea wapi dah!
Namkubali sana hasa katika PENGO
YANGU NDIO HII HAPA
1.Fid-Q
2.Hashim Dogo
3.salu T
4.Prof J
5.Zavara
6.One Increadible
7.Nikk Mbishi
8.Jcb
9.P the Emcee
10.Gwair
..........overrrrrrrr
1.Profesa jay 2.fid q 3.jay mo 4.nikk wa pili 5.bonta 6.adili 7.joh makin 8. Langa 9.king crazy gk 10.bonta
Zote za langa.ahsante sana King Kong III hii shit kuna ----- m1(r.i.p) alijibu "amani kwa kaka voda milionea,mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea"
akaja kuregret baadae,
hapana chezea mapowder....
Zote za langa.
Ya kwangu mm
1.watengwa(chindo man & jcb)
2.xplastars( R.I.P father Nelly)
3.Baloz
4.sugu
5.stoppa
6.fid q
7.j moe
8.G nako
9.zavara
10.Imamu Abbas
Juma ndio yuleyule, umaarufu haujanibadilisha/
kichwani upara hakuna nywele,style ya kiduku itakwisha/
naanza na nyumba sina presha na corola/
makondakta kwangu washkaji so nasafiri kisela/
JUMA MOHAMMED MCHOPANGA
ndo mwanahiphop bora Tanzania kwa miaka mia ijayo..
kwa ile track yake ya JIPANGE ya 2007 kweli kina stamina na wengineo wajipange sana kufika alipo Mo Technique,MAWAZO,Mo Fravour
Ya kwangu mm
1.watengwa(chindo man & jcb)
2.xplastars( R.I.P father Nelly)
3.Baloz
4.sugu
5.stoppa
6.fid q
7.j moe
8.G nako
9.zavara
10.Imamu Abbas