Hii ndo top ten ya vyuo vya kata bongo,vijue kabisa usije ukadanganyika kuvichagua kwa wadogo zangi

Tatizo hujaweka vigezo vya hayo makundi kiasi cha kuonekana umekurupuka sana.Eckenford kukiweka kundi moja na UDOM na SAUT ndo kabisa umepotea njia.Anyway,nasubiri vigezo vya hiyo top ten na uhalisia wake vinginevyo umejidis mwenyewe!
 
Naujutia muda wangu niliopoteza kupitia thread la kilaza kama huyu. K..k..joe ulale, au utakesha unatazama katuni?
 
Tution center hapo mkuu ulikuwa hujui.Huyu jamaa kazungumzia vyuo sio maswala ya tution.
University of Arusha unakiweka kwenye kundi gani? Toa sababu.
 

Ni sawa na kuuliza Haruna Moshi na Kaseja nani bora.
 
kuna vingine hukutaja kabisa,sasa hivyo vyenyewe si vyuo au?hahhaha napta tu ila ka bado upo chuo ukifika mtaani ndo utajua ubora wa chuo ulichosoma unasaidia au ulichotoka nacho ndo kinasaidia
 
We ndugu yangu mimi nakushangaa sana, na ninashndwa kuelewa wewe MTANZANIA KWELI? Yan watu wanaosoma kwenye iv vyuo unavyoviita vya kata ni watanzania wenzako lakn unashndwa hata kuwatia moyo na badala yake unaanza kuwanyanyasa kisaikolojia? we ni msomi gan ndugu yangu! we soma UDSM mimi nasoma UDOM tutakutana kwenye GPA.
Thnk big br, stop the shit which offend your fellows. alafu nawe unajiita msomi.
 

Hapo kwenye Red ni vyuo vipya nn?
Kwanza unapoongelea ubora unamaanisha nn? i) Quality publications?, ii) Lecturers/Students ratio?, iii) Availability of quality learning infrastructures?, iv) Quality of research projects undertaken?, v) Contributions to solving community problems? or vi) Own intuition based on your narrow mind?
 
kweli una mawazo finyu,siku hz hatuangalii jina la chuo what matters utatokaje kimaisha.Vingekuwa hivyo ndo vyuo bora TZ basi wengine tusingepata kazi na graduate wa hivyo vyuo wasingekuwa wanauza sura mitaani.
 
mtoa mada inaelekea ndo wale wa mbea wanaockiliza maneno ya mtaan wanacopy na kupest wa2 wamesoma UDSM na hivyo ulivyovitaja 2nakula nao Majani----xaxa we jidanganye 2 afu urud kwa mtaa utaixoma
 
kwani we mtoa mada umesoma chuo gani kati hivyo uilivyotaja hapo?
 
Chuo cha kata ndiyo kinasifa zipi tena jamani? Mimi wa KATAVI UNIVERSITY chuo changu kipo kundi lipi?
 
Wanazuoni wa Institute of Fashion and Modellin(IFM) lazima mpanic,ila ukweli ndo huooooo.
 
KILAZA NI KILAZA HATA KICHWA CHAKE HUA NI KIZITO KUFIKIRIA OOOH! KILAZA HUA AFIKIRII HATA KIDOGO AAAH! MMMH! KILAZA BAI BAI KILAZA OOH! umetumia vigezo gani kupata ivyo vyuo? au ni maono yakooo....:laser:
 
ubora wako unaupima kwa kitu gani? je unawajua vyema graduates wa IFM?
wewe najua bado boom liko sasa jishaue kununua hutu tu vocha twa MB uishiwe mapema uone kama hukula nyasi

one of the IFM graduates..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…