Hii Ndoto Inajirudia toka Miaka 12 iliyopita!

Hii Ndoto Inajirudia toka Miaka 12 iliyopita!

Alfred

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2008
Posts
2,093
Reaction score
2,843
Kipindi Hiko sikuweza kutilia maanani, huenda labda kwa sababu nilikuwa mtoto

Naota ndoto yaani sehem yenye maji hasa hasa mto, na ni maji ambayo yananifikia kiunoni kila mara niotapo, kwenye ndoto yale maji yanatembea!

Kinachontisha ni kwamba niotapo hii ndoto (yaani nikiwa Bado Nimelala) Nakuwa na Hofu na hata baada ya Kuamka nakuwa na hofu flani japo sio sana!

Jamani wanandugu Nisaidieni Hii ni ndoto ya nini? Imejirudia kwa zaidi ya Miaka 12 sasa!

Ahsanteni Saana!
 
tafuta wataalamu wakutafsili ndoto maybe wanaweza kukusaidia
 
Mungu peke yake ndiye hutafsiri ndoto. Na ili akutafusirie, omba kuelewa maana ya hiyo ndoto.

Lakini jiulize. Sehemu unayoishi ina mto? Ulishawahi kuishi sehemu yenye mto? Nauliza haya kwa sababu ndoto nyingi lazima zisimamie maeneo, maeneo ambayo yalianzisha tendo lolote ovu au zuri unalolipata maishani.

Kama unaota ukiwa kwenye maji, inawezekana kabisa kuna vipingamizi kwenye maisha vya kukuzamisha. Ili kujua hili pingamizi lilipoanzia au wakati gani, basi inabidi utambue huo mto upo maeneo yapi.

Kitabu cha Ayubu au Job 33:15-16 kinasema. 15 Mungu huongea na watu katika ndoto na maono, wakati wa usingizi mzito unapowavamia, 16 wanaposinzia vitandani mwao. Hapo huwafungulia watu masikio yao; huwatia hofu kwa maonyo yake.
 
Waone viongozi wako wa dini kwa msaada zaidi.
 
Mungu peke yake ndiye hutafsiri ndoto. Na ili akutafusirie, omba kuelewa maana ya hiyo ndoto.

Lakini jiulize. Sehemu unayoishi ina mto? Ulishawahi kuishi sehemu yenye mto? Nauliza haya kwa sababu ndoto nyingi lazima zisimamie maeneo, maeneo ambayo yalianzisha tendo lolote ovu au zuri unalolipata maishani.

Kama unaota ukiwa kwenye maji, inawezekana kabisa kuna vipingamizi kwenye maisha vya kukuzamisha. Ili kujua hili pingamizi lilipoanzia au wakati gani, basi inabidi utambue huo mto upo maeneo yapi.

Kitabu cha Ayubu au Job 33:15-16 kinasema. 15 Mungu huongea na watu katika ndoto na maono, wakati wa usingizi mzito unapowavamia, 16 wanaposinzia vitandani mwao. Hapo huwafungulia watu masikio yao; huwatia hofu kwa maonyo yake.
Nishasolve Mkuu!
 
hy ndoto inamaana kuwa usijethubutu kusafiri kwa njia ya majini (bahari, mazima nk)
 
Back
Top Bottom