Hii ndyo sababu inayonifanya nichukie kuchomekea

Hatariii. Sisi wenyewe wanawake tunasemaga kweli huyu mzuri sasa mwanaume anakua na hali gani hapo unadhani
Acha sasa mie huyo nayemfuataga masaki ni boss Wangu,Sista duh ,shombe Fulani hv ,yy ni min tu mwanzo mwisho,ukiwa na roho ndogo ,unaweza chomolea shati
 
Kuchomekea nako bwana aaaah....mm binafsi wakati nasoma Ukiona napigwa na ticha bsi ujue kosa kuchomekea.
 
Halafu wakati naandika jina lako hapo juu... sijui kwanini Watu8 akanijia kichwani..... sijui yaani.

We binti weweee...

Nawe umenifanya nifikirie vile unavyokuwa ukiwa na hiyo thong...especially ile moment ya kuivua..
 
We binti weweee...

Nawe umenifanya nifikirie vile unavyokuwa ukiwa na hiyo thong...especially ile moment ya kuivua..

Aahahahahahahahaaaa si bure.... nimemuona Mentor mahali amekuonjesha msuba nini.... aahahahahahhaaa si bure wallah. ..

Halafu ile kiu ya kukukata mtama imenirudia ghafla. Nikirudi ntakuvizia nawe ukiwa palee utastukia tuu umenyoosha miguu chinii halafu mie naangua kicheko hichoo aahahahahahahhahahahaaaa

Shkamoo Watu8 eehehehehehehehehheheheeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…