Bomba dear, sifa nakumwagia/Karibu bomba-dear,nasikia mpaka makete unatua pia.
Chadema hawakutaki,ccm tunakufagilia.
Tunakuombea uishi miaka mia,wapinzani wakikuona wanazimia.
Bomba dear mapinduzi ya usafiri wa anga yamewandia..
Pogba na herera wote wanakufagilia.
Ongeza mashairi kesho tutoe nyimba studio ntalipia mwenyewe
Umetisha mkuu hasa mstari wa mwisho huo..Bomba dear, sifa nakumwagia/
Mng'aro wako kinaa, giza linakimbia/
Waso na jema kelele, wivu umewajia/
Nyuso zimenuna, moyoni wanasifia/
Wanayapata mateso, hawawezi vumilia/
Wachunge wasipigwesonona, mwisho wakajifia/
[emoji23][emoji23][emoji23] haya wengine waendelezeUmetisha mkuu hasa mstari wa mwisho huo..