kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kama mpira ni uchawi basi tuseme Yanga bye bye, lakini Kama siyo uchawi ni uwezo wa timu na mbinu za makocha basi hii mechi ya Yanga dhidi ya Al Hilal bado ngumu sana tena sana.
Kama uliangalia ile mechi ya kwanza vizuri Yanga inaonyesha ina washambuliaji wazuri zaidi ya Al Hilal na huku ikiwa Yanga Al Hilal watatumia mpira wa kushambulia Yanga zaidi kuliko kuzuia hakika watatolewa.
Kama watazuia na kutumia ma contre attacking itakuwa vigumu kwa Yanga kupata matokeo. Ila wakitumia hii mbinu ya kuweka viungo wengi katikati na kuzalisha ma shuti ya mbali hawa Al Hilal wanaweza kutolewa.
Ila ni macho yetu!
Kama uliangalia ile mechi ya kwanza vizuri Yanga inaonyesha ina washambuliaji wazuri zaidi ya Al Hilal na huku ikiwa Yanga Al Hilal watatumia mpira wa kushambulia Yanga zaidi kuliko kuzuia hakika watatolewa.
Kama watazuia na kutumia ma contre attacking itakuwa vigumu kwa Yanga kupata matokeo. Ila wakitumia hii mbinu ya kuweka viungo wengi katikati na kuzalisha ma shuti ya mbali hawa Al Hilal wanaweza kutolewa.
Ila ni macho yetu!