Ubuyu bila wewe haunogi ati
Haswaa numerudi mwenye kiti
Kuna umbea nimeufata huku kibamba yan network inasumbua, ngoja nipande juu ya mti nianze kutoa maubuyu
Huyu binamu yako kazidi hahaha. Now yupo kibamba anatafuta umbea mwee. Binamu warumi una undugu na shakoor jongo au ndo role model wako?? hahaha
Hhhhhaaaaaaaaaa
Lucy nae kaanza kumchokonoa mbuta nanga , kesho nakuja na umbeq kamili, subir, yani huyu muke ya muzungu tutakoma mwaka huu
If u know nothing about fashions hizi vitu zitakupa tabu sana
Joketi ni mwanamitindo mnachoshangaa haswa haswa hapo nini? Mapaja wazi?
Lucy nae kaanza kumchokonoa mbuta nanga , kesho nakuja na umbeq kamili, subir, yani huyu muke ya muzungu tutakoma mwaka huu
Shakoor jongo cha mtoto, kuna mussa mateja huyo ni nyoko, asisikie tukio na piki piki yake, sema wenzangu wana vitendea kazi, wakisikia tukio sehemu wanatoka mbio na piki piki zao, yani izo zipo specila kwa ajili ya udaku, shigongo ni nyokoo
Halaf eti kuanzia leo blog ya sinta imetutenganishaa aisee wanaume marioo hua wanashidaaaa
Watu wanamsifiaje sasa......
Ni mzuri ila tangu lini suruali ya jeans ikavaliwa kilemba cha khanga kitenge kichwani