Hii nguo ya jokate sio

Ila mi sijaelewa ina maana alikuwa anatembea barabarani au alikua location...

Nguo zingine ni too much,ukikatiza na kuvuta attention ya watu kupitiliza jishtukie pia,inawezekana ni location ya video ya bongo fleva
 
Gud gel gonna BAD...afu ana nyota ya kungunii maana kila anachofanya kinabuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…