Bora ingekuwa kilemba cha kanga au kitenge...
Taulo pozi la TAULO duh
Ila labda mnamzuzua tu kwa vile mbongo,angetupia Kim kardishan au Rihanna ?
Biashara Matangazo.
Ila mi sijaelewa ina maana alikuwa anatembea barabarani au alikua location...
Ana upaja wa ukweli....Mie uyo mchizi mwenye namba 25 ndio sijamwelewa , kakaa kama punga kidizain.
Gud gel gonna BAD...afu ana nyota ya kungunii maana kila anachofanya kinabuma
Gud gel gonna BAD...afu ana nyota ya kungunii maana kila anachofanya kinabuma
Inafundisha nini jamii huu u supaster wa wapi huu
Hhhhaaa nyota ya mende kung`aa chooni tu
Hahahau mwanamke una maneno wewe nimeipenda hii