Hiyo TV na Radio walijitahidi kujifanya hawapo upande wowote,lakini CHUKI ZAO KWA WCB WAMESHINDWA KUZIFICHA,NA SASA WANAONYESHA UHALISIA WAO.Halafu wanajikuta hawawezi kufanya lolote la kuiangusha WCB,ila wamebaki na kurusha madongo yasiyokuwa na madhara kwa WCB.