Hii ni aibu kubwa kwa Wakenya

Hii ni aibu kubwa kwa Wakenya

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
28,916
Reaction score
40,479
Ndugu zetu Wakenya ina maana maisha yamekuwa magumu sana huko kwenu kiasi cha kuamua kufanya biashara hii haramu?

Screenshot_20191127-222408.jpeg
 
Afadhali kuuza wake zao huku kwetu Kuna wakina delicious n.k.
 
Wakenya nao wana majanga sana,mabaya mengi yanawaandama,hayo yote ni kwasababu ya umaskini lakini wakija hapa watakwambia wao ni matajiri
 
Baadhi ya Watanzania wanakula albino..
 
Mk 254 nikodishie mdogo wako nakuja kufanya utalii wa izo slums za kibera [emoji23]
 
Issue sasa kama jamaa kapotea naye mazima sijui inakuwaje!!?
 
Back
Top Bottom