Uko sahii, biashara ya fully furnished ni biashara kichaa kwa nchi zetu za Dunia ya tatuUnapangisha nyumba fully furnished hapa bongo?[emoji23][emoji23][emoji23] Hayo mambo yanawezekana huko mbelez na kwa baadhi ya watu tu hapa mjini, otherwise mpe mtu jumba, atajua mwenyewe kama kulala chini au godoro ama kitanda kabisa. Ila jiandae kurekebisha vitasa kila baada ya miezi kadhaa.
Akili zetu sijui nani alizifanyia programming!
Watu hatuna utamaduni wa kuthamini vya kwetu, vya wenzetu tutawezaje! Kibongo hiyo ni biashara kichaa, atalia kama huyo Niah alovyolia.Uko sahii, biashara ya fully furnished ni biashara kichaa kwa nchi zetu za Dunia ya tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa yang aliifanya pale mikocheni,Watu hatuna utamaduni wa kuthamini vya kwetu, vya wenzetu tutawezaje! Kibongo hiyo ni biashara kichaa, atalia kama huyo Niah alovyolia.
Yaani sijui ila ndo tulishaamua na si rahisi kuondoa furniture na vitanda na vyombo kwenye nyumba. so sad.Unapangisha nyumba fully furnished hapa bongo?[emoji23][emoji23][emoji23] Hayo mambo yanawezekana huko mbelez na kwa baadhi ya watu tu hapa mjini, otherwise mpe mtu jumba, atajua mwenyewe kama kulala chini au godoro ama kitanda kabisa. Ila jiandae kurekebisha vitasa kila baada ya miezi kadhaa.
Akili zetu sijui nani alizifanyia programming!
Tumejifunza. Karibu Dodoma ila ujue hutapikiwa chakula mpaka utoe order. Utalala kwa raha zako ila hutapanga bali B and B basi.Kweli bro hawa Watoto wa JF hawawezi Kuelewa Yule mzee anavyojiskia wao ni kuweka Ushabiki mbele bila kutumia Akili
Tweeter imeshakuharibu wwKwaiyo,
Mtoa mada anajikuta warumi eeh[emoji2]View attachment 1942527
🤣🤣🤣🤣Mtoa mada: I have a better life than ya huyo harmo mayb alichonizid ni Ustar tu...View attachment 1942615
Mtoa mada: I have a better life than ya huyo harmo mayb alichonizid ni Ustar tu...[emoji2]View attachment 1942615
Huu ujibuji wa picha
Kwani wema sepetu alipokuwa anaenda Dubai kununua chakula cha mbwa cha million 15 anayo nyumba?Yani na usanii wote huo asiwe na nyumba hata ya 50M,huo ni uong
Punguwan wahed mwambie msanii wako akalipe kodi asikimbie usiku usiku nyumba za watu au uza K zaidi upate hela za kumsaidia asichafuliwe kwa madeniWewe ndio mpumbavu acha kumchafua kaka wa watu, simple!
Wapumbavu wanasema mzee anatafuta kiki kwa harmonize yan mtwara ina watu wajinga sana 😂😂sijui hizo habar.ila mzee ni mstaarab kweli.kweli kila mwkaa twafturu kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mwenye nyumba mpaka leo haja flash choo au? kweli mpangaji wako anaweza kuondoka katika nyumba yako bila kulipa stahiki zote mimi najuwa Tanzania umekodi nyumba au chumba unalipa in advance sijawahi kusikia mtu analipa baada ya kukaa unalipa kabla hujakaa kwa bahati siku hizi wamepunguza miezi 6 advance siku za nyuma ilikuwa mwaka. hii story haijakaa sawa na tuseme kuna ukweli alikwenda kumshitaki kwenye mamlaka husika? kwa ufupi kitu kikubwa kwa Tanzania yetu hakuna sehemu utakodi usilipe advance hakuna kitu nakaa nitakuja kulipa. Mimi na nyumba nimekodisha watu kila mwazo wa mwaka wanalipa kodi ya mwaka mzima hatusumbuani tena hili la leo ndio kwanza nasikia mtu anakaa hajalipa. Harmo naye mjinga kama na vielelezo vyote vya mkataba nawapeleka mahakamani hawa wote kwa kumchafua mtu mpe wakili vielelezo vyote mwambie utakacholipwa chukuwa mimi sitaki kitu, utaona shughuli.Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi
Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli [emoji853] Ndo Msanii wenu huyo
Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki
Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu
Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)
Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa
Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee
Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa
Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi
Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda
Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
[emoji625]Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Nina hamu ya kukutooooo..... Kutoa out (🤣🤣🤣🤣 hahahah)Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi
Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli [emoji853] Ndo Msanii wenu huyo
Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki
Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu
Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)
Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa
Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee
Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa
Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi
Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda
Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
[emoji625]Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]iyo Ni bukta au pampasiHuu ujibuji wa picha View attachment 1944191
Wema Alikua mdangaji international [emoji4]Kwani wema sepetu alipokuwa anaenda Dubai kununua chakula cha mbwa cha million 15 anayo nyumba?
Aisee!Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi
Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli [emoji853] Ndo Msanii wenu huyo
Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki
Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu
Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)
Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa
Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee
Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa
Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi
Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda
Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
[emoji625]Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Kama ni kweli atakuwa anamakosaNasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi
Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli [emoji853] Ndo Msanii wenu huyo
Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki
Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu
Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)
Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa
Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee
Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa
Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi
Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda
Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
[emoji625]Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Pempasi
Kwendaaaaa takataka wewePunguwan wahed mwambie msanii wako akalipe kodi asikimbie usiku usiku nyumba za watu au uza K zaidi upate hela za kumsaidia asichafuliwe kwa madeni