Hii ni aina mpya ya pilau awamu ya Magufuli

Pawaga

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
1,349
Reaction score
1,011
*Kuna aina mpya ya pilau imeingia, inaitwa pilau makinikia maana yake nyama unazitafuta kwa mbali sana na wakati mwingine usiambulie kabisa, chondechonde wenye mpango wa kutualika kwenye idd msitumie aina hiii.* [emoji16][emoji16][emoji12][emoji85][emoji12][emoji12][emoji12][emoji500][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpaka uchinjue
 
Si unashukuru hata ukipata hiyo pilau makinikia kuna wanaokwenda kutafuta mapapai wapitishie mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…