bilion 94 zineweza kutatua shida hii' si kweli kwani kuna mabilion mangapi wanayo hawa viongozi zaidi ya haya, na shida iko pale pale, uongozi bora unatoka kwa mungu hawa viongozi hawajali shida za wananchi wao ni kujinufaisha wao na watoto wao tu. uwezo wa kuongoza kwa mwafrika bado saaana