Wengine utawasikia sijui KARABAI ya mkoloni,,mara sijui Gwara lenye picha ya Trekta..
Watu tu wanahangaika,,ila ukimuuliza nani katoka kwa hiyo deal,,,hakuna jawabu..
Upanga kuwa muangalifu...
Ndugu zangu habari za Leo!Ningependa kuwaauliza kuhusu biashara ta RED MERCURY(ZEBAKI NYEKUNDU).
Nimepata taarifa kuwa hii kitu inatafutwa miaka nenda miaka rudi je ni kweli kitu kama hiii ipooooo?
Na nimeambiwa kuwa ukifanikiwa kuipata bei yake huwa ni kubwa je kuna ukweli?Naomba kuwasilisha
hilo kweli lakini kila mtu atakua na mpango yakeNimesikia watu nwengi wametapeleliwa na watu wanaodai wanajihusisha na biashara hiyo. kwanza mnunuzi na muuzaji wakati mwengine huwa ni mtu mmoja au wanafahamiana, muuzaji baada ya kukunganisha na soko anataka malipo kwanza kabla ya wewe kuona bidhaa halafu ukishalipa pesa ambay wao wanaona ni nzuri kwao wanabadili namba na kutoweka. kuna utapeli sana kwenye hiyo biashara
Mama yangu wee! Hili ni tapeli kubwa kabisa! Kuweni macho! Angalia hata kiswahili halijui!Habari -zenu..
Nataka niwe open wise with you gaiz kitu ya kwanza kuhusu-
"RED MECURY" ni kweli biashara hilo,-
na si rahisi kupatikana na kuna wengi watapeli na wachawi huwa wanakuambia kabla kufanya test lipa hela kadha alafu baada ya muda mfupi yaani baada kufanya uganga anakwita wakati tayari kashakuloga yani ww ukifanya test unaiyona orignal wakati ni feck-
2) kama unayo kweli zebaki mimi ndo mnunuzi each gram 50,000 doller
test itakayo fanyikwa ni
1) kutumia kiyo
2)kutumia ndimu
3) kutumia tishu
4) kutumia computer ili tutoe pasent yake 99%999 HG
na vifa vyote ni yakwetu itakayo tumika kufayiwa test
-yeyote anaye jua mtu anayeuza au yeye mwenyewe anaye-
contact me kwenye email hii kama kuna swali yeyote ambacho huwezi kuulizia hapa pablic just be free and contact
swty-shosho@hotmail.com
3)Sasa kuhusu middel isizidi mtu mmoja hii ni sharti yangu.,,
- Thank's,,
Mrs Sara....
Any way atakaye kua tayari contact me maanake
kuna watu bado wameghafilika na ndo vizuri