Befor anything be sure from your words you have noWewe ni tapeli mkubwa. Hutampata mtu hapa!
The five main theories (about red mercury) are: (article from BBC website)Befor anything be sure from your words you have no
right to insult someone you dont know yah kweli sijui kiswahili cause am not tanzanian anyway it seems nilikosea
nilivo ingia hapa siyo muhimu kwangu uniamini
but atlist watu wamejua hilo ni kweli
have a nice day
Thanks for the informationKuna sehemu inaitwa kiwira ipo Tukuyu,huko kuna sehemu inaitwa daraja la mungu kuna zebaki ya kutosha tu sema swala linakuja jinsi ya kuivuna hiyo zebaki kwani sehemu iliyopo ni hatari kweli,wzungu kibao washapoteza maisha kwa lengo la kutaka kuvuna zebaki hiyo,so kama una uwezo na ujasiri unaweza kwenda huko ingawa iko ndani ya jeshi la magereza so lazima uwe na vibali.
Habari -zenu..
Nataka niwe open wise with you gaiz kitu ya kwanza kuhusu-
"RED MECURY" ni kweli biashara hilo,-
na si rahisi kupatikana na kuna wengi watapeli na wachawi huwa wanakuambia kabla kufanya test lipa hela kadha alafu baada ya muda mfupi yaani baada kufanya uganga anakwita wakati tayari kashakuloga yani ww ukifanya test unaiyona orignal wakati ni feck-
2) kama unayo kweli zebaki mimi ndo mnunuzi each gram 50,000 doller
test itakayo fanyikwa ni
1) kutumia kiyo
2)kutumia ndimu
3) kutumia tishu
4) kutumia computer ili tutoe pasent yake 99%999 HG
na vifa vyote ni yakwetu itakayo tumika kufayiwa test
-yeyote anaye jua mtu anayeuza au yeye mwenyewe anaye-
contact me kwenye email hii kama kuna swali yeyote ambacho huwezi kuulizia hapa pablic just be free and contact
swty-shosho@hotmail.com
3)Sasa kuhusu middel isizidi mtu mmoja hii ni sharti yangu.,,
- Thank's,,
Mrs Sara....
Yapo, but ni very scarce!Haya makitu yapo kweli au ni story tu
Hizo biashara zote ni upuuzi. Watu hawataki kutafanya kazi ili wafanikiwe kwa jasho lao. Ndio maana wengi wamekimbilia ufisadi na ushirikina. Hawataki kusumbua akili zao.
Wakati niko Sekondari tuliambiwa rupia ya Mjerumani ni dili. Nilipoenda likizo kidogo tuue vikongwe kwa kuitafuta. Tulizunguka maeneo tofauti mengine mbali sana, mwendo wa zaidi ya masaa 10 kwa miguu. Tuliambulia patupu. Mwishowe ikaja dili ya coins fulani za Tz zilitoka kwenye miaka ya 1986/87. Nilinunua kibao nikampa mshikaji wangu akauze Tarime (mpakani na Kenya) wakati wa midterm. Aliporudi akanambia hakupata soko ila coins hakurudisha! Kwa hiyo haya mambo ni utapeli tu!
Habari?Upo registered na VAT kwenye hii busness?hilo kweli lakini kila mtu atakua na mpango yake
na mm kwaida nafanya deal zangu in public places
e.g five stars hotel ,, na mm si mara ya kwanza kufanya deal
hii ,, lazima kabla ya kila kitu amani ipatikane in both sides
and that what we alwYs deal with
Ndiyo Hii Bishara inaukweli asilimia 100 ila shida ni kuwa matapeli wamekuwa ni wengi na hata wewe unae tafuta hakikisha unajua unachokitafuta uepuka kutapeliwa na wachumia Juani,na ukumbuke pia kuwa ni salama zaidi kama utafanya na Mahali ambapo lazima ulipe kodi na pesa yako kuwa hurunayo kukwepa kesi za uhujumu uchumi mkuu.Ndugu zangu habari za Leo!Ningependa kuwaauliza kuhusu biashara ta RED MERCURY(ZEBAKI NYEKUNDU).
Nimepata taarifa kuwa hii kitu inatafutwa miaka nenda miaka rudi je ni kweli kitu kama hiii ipooooo?
Na nimeambiwa kuwa ukifanikiwa kuipata bei yake huwa ni kubwa je kuna ukweli?Naomba kuwasilisha
na epuka Biashara ya vichochoroni n ndani ya Mahoteli maana ni rahisi sana kupewa pesa feki.Ndiyo Hii Bishara inaukweli asilimia 100 ila shida ni kuwa matapeli wamekuwa ni wengi na hata wewe unae tafuta hakikisha unajua unachokitafuta uepuka kutapeliwa na wachumia Juani,na ukumbuke pia kuwa ni salama zaidi kama utafanya na Mahali ambapo lazima ulipe kodi na pesa yako kuwa hurunayo kukwepa kesi za uhujumu uchumi mkuu.
Bado unanunuaHabari -zenu..
Nataka niwe open wise with you gaiz kitu ya kwanza kuhusu-
"RED MECURY" ni kweli biashara hilo,-
na si rahisi kupatikana na kuna wengi watapeli na wachawi huwa wanakuambia kabla kufanya test lipa hela kadha alafu baada ya muda mfupi yaani baada kufanya uganga anakwita wakati tayari kashakuloga yani ww ukifanya test unaiyona orignal wakati ni feck-
2) kama unayo kweli zebaki mimi ndo mnunuzi each gram 50,000 doller
test itakayo fanyikwa ni
1) kutumia kiyo
2)kutumia ndimu
3) kutumia tishu
4) kutumia computer ili tutoe pasent yake 99%999 HG
na vifa vyote ni yakwetu itakayo tumika kufayiwa test
-yeyote anaye jua mtu anayeuza au yeye mwenyewe anaye-
contact me kwenye email hii kama kuna swali yeyote ambacho huwezi kuulizia hapa pablic just be free and contact
swty-shosho@hotmail.com
3)Sasa kuhusu middel isizidi mtu mmoja hii ni sharti yangu.,,
- Thank's,,
Mrs Sara....