Hii NI Dharau

arsenal ata sishangai mwishoni mnasua sua mbona hiyo kuongoza mwanzo wa ligi ni kawaida yenu tu

Arsenal ni kama ngoma ya watoto tu, na ndiyo maana nyimbo zao zote zinafanana[emoji1][emoji1]
 
kama vyura fc[emoji196] [emoji196] wazee wa kukodishwa
Hahaaaaa ..!!
Mchangani fc,wazee wa ndondo cup.
Jitahidini mwaka 2018 mkang'oe viti vya bombadier q800.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…