Hii ni fashion au uchizi?

Hizi zangu zikitoboka huwa naziacha.... Kumbe ndo zinaelekea kwenye new fashion....
 
Usishangae baada ya muda ukakuta vijana wetu hapa bongo nao wameiga,maana sisi tunapenda kuiga kila kitu hata kama cha kipuuzi ilimradi kimefanywa na wenzetu wa nchi zilizotutangulia.
 
Maskin ukivaa hvyo utaonekana chizi umetoroka milembe.ila tajir itaonekana fashion.ht dadamond anavaaga jinc imechanika
 
Maskin ukivaa hvyo utaonekana chizi umetoroka milembe.ila tajir itaonekana fashion.ht dadamond anavaaga jinc imechanika
Mkuu taratibu unapo mtaja Diamond, utapata shida bure hapa, hakosolewi huyo.
 
hizi fasion zinakuna na historia nyuma yake lakini sisi tuna zivagaaga tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…