U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,423 Oct 5, 2010 #2 Hivi viatu vinapatikana wapi?
Rose1980 JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 5,684 Reaction score 1,305 Oct 5, 2010 #3 do u thk ths z normal?
E Edo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2008 Posts 727 Reaction score 93 Oct 5, 2010 #4 Waulize ma MC wa kwenye harusi watakuambia wanapata wapi hivyo viatu !
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 Oct 5, 2010 #5 Mimi sijui niugonjwa kwa mwenye akili iliyo kaa sawa kwenye tray yake huwezi kuvaa hivi!watu bwana!
sirdelta JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 306 Reaction score 82 Oct 5, 2010 #6 imetulia hiyo
SILENT WHISPER JF-Expert Member Joined Jun 26, 2009 Posts 2,209 Reaction score 822 Oct 5, 2010 #7 jamaaa huwa namuona kinondoni ....!
U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,423 Oct 5, 2010 #8 Rose1980 said: do u thk ths z normal? Click to expand... Its weird,Rose wud u date such a guy? hypothetically.
Rose1980 said: do u thk ths z normal? Click to expand... Its weird,Rose wud u date such a guy? hypothetically.
Beauty JF-Expert Member Joined Feb 6, 2008 Posts 540 Reaction score 23 Oct 5, 2010 Thread starter #9 uporoto01 said: Hivi viatu vinapatikana wapi? Click to expand... labda ukacheck kariakoo.
Beauty JF-Expert Member Joined Feb 6, 2008 Posts 540 Reaction score 23 Oct 5, 2010 Thread starter #10 sirdelta said: imetulia hiyo Click to expand... are u seriaz?
Nyamayao JF-Expert Member Joined Jan 22, 2009 Posts 6,966 Reaction score 2,357 Oct 5, 2010 #11 mambo mengine jamani, mtu unatafuta attention kwa nguvu zote.
njiwa JF-Expert Member Joined Apr 16, 2009 Posts 13,144 Reaction score 6,942 Oct 5, 2010 #12 hehe! limetulia
Xkalinga JF-Expert Member Joined Sep 10, 2010 Posts 476 Reaction score 317 Oct 5, 2010 #13 Nahisi ndo huyu namuona mara nyingi pale maeneo ya kinondoni morocco!!!hawa ma papaa fulani wanapenda sana sifa.Ila ndo burudani zenyewe hapa duniani........!!suruali kama ovaroli
Nahisi ndo huyu namuona mara nyingi pale maeneo ya kinondoni morocco!!!hawa ma papaa fulani wanapenda sana sifa.Ila ndo burudani zenyewe hapa duniani........!!suruali kama ovaroli
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,662 Reaction score 6,888 Oct 5, 2010 #14 Nyamayao said: mambo mengine jamani, mtu unatafuta attention kwa nguvu zote. Click to expand... Kama attntion wanayotafuta CCM kwa mabango mji mzima!
Nyamayao said: mambo mengine jamani, mtu unatafuta attention kwa nguvu zote. Click to expand... Kama attntion wanayotafuta CCM kwa mabango mji mzima!
U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,423 Oct 5, 2010 #15 Hiyo mikanda miwili ya suruali mumeiona?
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 Oct 5, 2010 #16 uporoto01 said: Hiyo mikanda miwili ya suruali mumeiona? Click to expand... Nini maana yake sasa kuvaa mikanda miwili inamaana hata matiti yake kayafunika?? mifuko hipo magotini!! \
uporoto01 said: Hiyo mikanda miwili ya suruali mumeiona? Click to expand... Nini maana yake sasa kuvaa mikanda miwili inamaana hata matiti yake kayafunika?? mifuko hipo magotini!! \
cheusimangala JF-Expert Member Joined Feb 27, 2010 Posts 2,585 Reaction score 498 Oct 5, 2010 #17 uchizi jazz band
Beauty JF-Expert Member Joined Feb 6, 2008 Posts 540 Reaction score 23 Oct 5, 2010 Thread starter #18 Nyamayao said: mambo mengine jamani, mtu unatafuta attention kwa nguvu zote. Click to expand... yaani duniani kuna mambo humu.
Nyamayao said: mambo mengine jamani, mtu unatafuta attention kwa nguvu zote. Click to expand... yaani duniani kuna mambo humu.
K kisoti Member Joined Aug 20, 2009 Posts 81 Reaction score 9 Oct 5, 2010 #19 Huyu jamaa ni miongoni mwa comedians wakujitolea(bila malipo)
K kisoti Member Joined Aug 20, 2009 Posts 81 Reaction score 9 Oct 5, 2010 #20 Nyamayao said: mambo mengine jamani, mtu unatafuta attention kwa nguvu zote. Click to expand... Suala la kutafuta attention sio la watu kama huyo jamaa peke yake.Siku hizi watu wengi huvaa kwa lengo ya kutafuta attention zaidi kuliko kujisitiri
Nyamayao said: mambo mengine jamani, mtu unatafuta attention kwa nguvu zote. Click to expand... Suala la kutafuta attention sio la watu kama huyo jamaa peke yake.Siku hizi watu wengi huvaa kwa lengo ya kutafuta attention zaidi kuliko kujisitiri