Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?
we Maty huna adabu, kwanini ukafungua mzigo usio wako.....
Hahaha nisamehe bure gy unajua ndio tabia yake akitaka uctoke utaachiwa mzigo fulani anakuja kuchukua sasa ikabidi cku hiyo ufunguliwe kwan hk nini mbona hakifuatwi ile kufungua lol salaleeeeeeeeeeeeeeeee
Nalinda nyumba nimekua mlinzi? acheni hizo bana
sasa alinialika nije nimchungie rafiki atakaekuja kuchukua mzigo? kwnini anielike then yeye atoke?...
Rose ana hamu hata ya kumuuliza kaja kajifanya kachoka mana hanywi pombe na laptop anaendelea kujifanya/sijui kweli anaendelea na kazi m2 kama huyo utaanzaje kumuuliza?
hata kama c wangu kila siku unasingizia kuna mtu atakuja chukua halafu haji na ni mzigo huo huo ila c nimefungua we hujaona jamani?
Ntakusamehe ikiwa hii issue hautai-mind....so kosa sio matambara, kosa ni kufungua mzigo usio wako!
Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?
Hiyo kodi ya meza ambayo tunaweza tolewa balu anaenda iba au nae ni marioooo kwa mwenzangu huko akipata ndio tunakuja kula wote
utanletea za rang gan?
under scotch law ipo leo?
mwambie roy nimemnunia kwa masaa 120 mpk atakaponiletea gaun la sikukuu!!!!!!!!
Inategemea unaweza jikuta umeachiwa kadi na maua ya mwenzio kwa sababu huwa hujali anapitia mtu anampelekea we acha kabisa
Utajuaje pesa anako pata labda kuna mama linamuhudumia ili mneemeke wote utajuaje uende ukatibue ili mkose wote?
kadi na maua...that can never come from babu Apirin....hata Kimey hatoi kadi na maua...labda digi digi
Ivi Maty unakumbuka sheria namba tatu?
Hiyo nilifanya wakati nikiwa primary....kadi na maua...that can never come from babu Apirin....hata Kimey hatoi kadi na maua...labda digi digi
Ivi Maty unakumbuka sheria namba tatu?