KERO Hii ni huzuni na fedhea kwa nchi kukosa maji safi na salama ya uhakika

KERO Hii ni huzuni na fedhea kwa nchi kukosa maji safi na salama ya uhakika

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam,

Nimefatilia ziara ya Rais huko Katavi na Musoma kilio kikubwa cha wananchi ni maji safi na Salama. Kama taifa tumeongozwa na CCM kwa miaka 60+ na bado na hakuna uhakika wa kutatua tatizo hili ni sarakasi kila Leo. Ifike wakati CCM muwe na aibu mkiacha anasa za kununuliana ma V8 na mkaacha kulipana posho za kijinga mtatatua matatizo ya maji, miondombinu na huduma za afya.

Kwa kweli mnakera kila mwaka kuja na mahubiri yale yale kwamba tutawaletea maji safi, barabara na kujenga zahati ambazo hata zilizojengwa huduma Ni mbovu na dawa hakuna ni kujinunulia huku viongozi wa CCM wakiponda anasa Kwa magari ya kifahari na posho LUKUKI. Ifike wakati muwe na chembe ya huruma kwa TAIFA hili na sio kuwafanya wenye nchi mazombi.
 
Watawala wa kiafrika ni wabinafsi sana.
 

Attachments

  • JamiiForums-1176904024.jpeg
    JamiiForums-1176904024.jpeg
    192.8 KB · Views: 2
Wasalaam,

Nimefatilia ziara ya Rais huko Katavi na Musoma kilio kikubwa cha wananchi ni maji safi na Salama. Kama taifa tumeongozwa na CCM kwa miaka 60+ na bado na hakuna uhakika wa kutatua tatizo hili ni sarakasi kila Leo. Ifike wakati CCM muwe na aibu mkiacha anasa za kununuliana ma V8 na mkaacha kulipana posho za kijinga mtatatua matatizo ya maji, miondombinu na huduma za afya.

Kwa kweli mnakera kila mwaka kuja na mahubiri yale yale kwamba tutawaletea maji safi, barabara na kujenga zahati ambazo hata zilizojengwa huduma Ni mbovu na dawa hakuna ni kujinunulia huku viongozi wa CCM wakiponda anasa Kwa magari ya kifahari na posho LUKUKI. Ifike wakati muwe na chembe ya huruma kwa TAIFA hili na sio kuwafanya wenye nchi mazombi.
Maji yakipatikana anasifiwa Rais yakikosekana wanalaumiwa wataalamu, nchi ya kijinga sn, Aweso ni mtu wa hovyo kupita kiasi, ameweka mameja wa hizi mamlaka marafiki zake na wala rushwa
 
Back
Top Bottom