hii ni karne ya 20 na sio 21

hii ni karne ya 20 na sio 21

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
kumekua na upotoshaaji mkubwa juu ya kua hii ni karne ya 21 wakati si kweli hii ni karne ya 20

sababu
karne moja ni sawa na miaka 100 yaani inabadilika baada ya miaka100
mwaka 1700 ilikua ni karne ya 17
mwaka 1800 ilkua ni karne ya 18 mwaka 1900 ilikua ni karne ya 19
na mwaka 2000 ilkua ni karne ya20
karne ya 21 itakua miaka ya2100 na sio miaka ya 2001 kama watu walivyoanza kuhesabukua ni karne ya 21 hii si kweli
 
Sorry my Swahili is pathetic so I will try to explain to you in English. Why are you 21 years old when you are
living in your 22nd year? OK, here's how it works. The western
world uses a calendar based somewhat
loosely on a date that correspond's to the
birth of Jesus. A.D., or Anno Domini in
Latin. So,
1st century- years 1-100
2nd century- years 101-200
11th century- years 1001-1100
19th century- years 1801-1900
20th century- years 1901-2000
So, by the time we get to 2013, we're
saying '21st century', meaning the years
2001 through 2100.
 
Sorry my Swahili is pathetic so I will try to explain to you in English. Why are you 21 years old when you are
living in your 22nd year? OK, here's how it works. The western
world uses a calendar based somewhat
loosely on a date that correspond's to the
birth of Jesus. A.D., or Anno Domini in
Latin. So,
1st century- years 1-100
2nd century- years 101-200
11th century- years 1001-1100
19th century- years 1801-1900
20th century- years 1901-2000
So, by the time we get to 2013, we're
saying '21st century', meaning the years
2001 through 2100.


Marhaba sawa umesomeka, hivi ndivyo ilivyo
 
Sorry my Swahili is pathetic so I will try to explain to you in English. Why are you 21 years old when you are
living in your 22nd year? OK, here's how it works. The western
world uses a calendar based somewhat
loosely on a date that correspond's to the
birth of Jesus. A.D., or Anno Domini in
Latin. So,
1st century- years 1-100
2nd century- years 101-200
11th century- years 1001-1100
19th century- years 1801-1900
20th century- years 1901-2000
So, by the time we get to 2013, we're
saying '21st century', meaning the years
2001 through 2100.

Sasa basi, kwa nini karne tulionayo iitwe ya 21? Plz help me.
 
As u said we are in 1901-2000 we waz in a 20 centery n 2001-2100 iz 21 centary... By that calculation u will find that 2013 is in between 2001-2100 so it must b a 21 centary
 
Sorry my Swahili is pathetic so I will try to explain to you in English. Why are you 21 years old when you are
living in your 22nd year? OK, here's how it works. The western
world uses a calendar based somewhat
loosely on a date that correspond's to the
birth of Jesus. A.D., or Anno Domini in
Latin. So,
1st century- years 1-100
2nd century- years 101-200
11th century- years 1001-1100
19th century- years 1801-1900
20th century- years 1901-2000
So, by the time we get to 2013, we're
saying '21st century', meaning the years
2001 through 2100.
asante sana kwa darasa mkuu
 
Sasa basi, kwa nini karne tulionayo iitwe ya 21? Plz help me.

baada ya 2000, kinachoongezeka kipo ktk sehemu ya 100. yaani 2013 ,13 ipo ktk 100 ungekuwa umeweka hela ktk makundi ya 100, basi 13 isingekuwa sehemu ya 2000,ila mia ya 2100.
 
kumekua na upotoshaaji mkubwa juu ya kua hii ni karne ya 21 wakati si kweli hii ni karne ya 20

sababu
karne moja ni sawa na miaka 100 yaani inabadilika baada ya miaka100
mwaka 1700 ilikua ni karne ya 17
mwaka 1800 ilkua ni karne ya 18 mwaka 1900 ilikua ni karne ya 19
na mwaka 2000 ilkua ni karne ya20
karne ya 21 itakua miaka ya2100 na sio miaka ya 2001 kama watu walivyoanza kuhesabukua ni karne ya 21 hii si kweli

Mkuu unauliza au unafahamisha?
1. kama unafahamisha tunaomba reference
2. kama unauliza vipi bona huna question tag?
SP
 
Sasa basi, kwa nini karne tulionayo iitwe ya 21? Plz help me.

Simply,chukua mwaka tuliopo,gawanya kwa 100,utagundua kuwa tayari karne 20 zimeshapita,na sasa tumeshaanza karne ya 21 kwa hii miaka 13 iliyopita,tangu mwaka 2000!
 
Back
Top Bottom