Hii ni kawaida kwa wadada au?

Hii ni kawaida kwa wadada au?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Hello jf!kuna galfried wangu wa zaman alinigunduaga kwamba nimemtongoza rafiki yake{ni kweli},bac ikatokea nkamuomba msamaha but mmanzi akachomoa,akashauri 2achane 2,nkawa kila nkimpgia cm au kumtext harespond,bac na me nkaamua kumpotezea.well umepita mwaka hadi sasa,leo mchana nimejarbu kumtafuta kwenye cm amepokea,2meongea fresh 2,nkamuomba msamaha kwa yalyotokea,nkamgusishia na kuhusu kurudiana nae,akanikubalia..hvi hi ni kawaida kwa wadada kusamehe na kurudiana haraka haraka na wapenz wao wa zaman au me napigwa changa la macho wakuu?
 
Hiyo haraka haraka unayoiongelea ni ipi maana umeshasema mwenyewe alishakukatalia mwaka umepita sasa!!
 
Hiyo haraka haraka unayoiongelea ni ipi maana umeshasema mwenyewe alishakukatalia mwaka umepita sasa!!
<br />
<br />
sa c leo nimemsaundsha tena,hata hajaniulza ka nna m2 au vp ye kakubali 2 2rudiane ukzngatia ni muda mrefu ha2kuwa na mawasliano.
 
Wewe ndo ungetuuliza matatizo yako kwa sababu inaonekana kuwa una mapungufu na matatizo makubwa kuliko hata huyo dada!
 
Mwaka mzima hama habari na wewe,lakini weye bado tuu,au ndio anaekufikisha siuseme2 kua wewe kwake upindui kwenye Manjonjo!
 
Sasa c umshukuru amekubali angekataa ungemsema tena niaje broo vp ulitaka akatae au iweje?
 
Mhh Hapo wacwac, ila ingia mguu mmoja ndani moja nje mwangalie.
 
May be alipokuwa kajiegesha kwa huo mwaka mmoja alifanyiwa kitu kama ulichomfanyia wewe mwaka mmoja uliopita sasa wewe umeonekana unakauafadhali kuliko pale alipokuwa so ameamua kukurudia. Ingawa napata wasiwasi kama ni kweli au umeleta story tu.
 
anakutega huyo ! Yawezekana ashakanyaga miwaya so anataka akukanyagishe na wewe! Usiingie kichwa kichwa. Tafakari kwanza then uchukue hatua!..
 
Ukitaka kumla bata usimchunguze saaaanaaa.
 
Hello jf!kuna galfried wangu wa zaman alinigunduaga kwamba nimemtongoza rafiki yake{ni kweli},bac ikatokea nkamuomba msamaha but mmanzi akachomoa,akashauri 2achane 2,nkawa kila nkimpgia cm au kumtext harespond,bac na me nkaamua kumpotezea.well umepita mwaka hadi sasa,leo mchana nimejarbu kumtafuta kwenye cm amepokea,2meongea fresh 2,nkamuomba msamaha kwa yalyotokea,nkamgusishia na kuhusu kurudiana nae,akanikubalia..hvi hi ni kawaida kwa wadada kusamehe na kurudiana haraka haraka na wapenz wao wa zaman au me napigwa changa la macho wakuu?


Back to Black - Army Winehouse
 
Kastori kako kazuri japo kakupika! Hongera mtafute kanumba waweza muuzia hiyo!!
 
anakutega huyo ! Yawezekana ashakanyaga miwaya so anataka akukanyagishe na wewe! Usiingie kichwa kichwa. Tafakari kwanza then uchukue hatua!..
<br />
<br />
sweet upo? Hebu changia hii post kwa niaba yangu. Mi natoka.
 
watch out asije akawa anakutega for what you did to her? Kwani huyo rafiki yake umeishia naye wapi?
 
Hello jf!kuna galfried wangu wa zaman alinigunduaga kwamba nimemtongoza rafiki yake{ni kweli},bac ikatokea nkamuomba msamaha but mmanzi akachomoa,akashauri 2achane 2,nkawa kila nkimpgia cm au kumtext harespond,bac na me nkaamua kumpotezea.well umepita mwaka hadi sasa,leo mchana nimejarbu kumtafuta kwenye cm amepokea,2meongea fresh 2,nkamuomba msamaha kwa yalyotokea,nkamgusishia na kuhusu kurudiana nae,akanikubalia..hvi hi ni kawaida kwa wadada kusamehe na kurudiana haraka haraka na wapenz wao wa zaman au me napigwa changa la macho wakuu?
<br />
<br />
mmekutana binadamu wawili wenye mafaiza foxy a.k.a majini mahaba
 
Back
Top Bottom