Hii ni kero

chriss brown

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
292
Reaction score
63
Hivi dada zetu,mmeshaona kuwa na mabody makubwa aka mahipsi yakichina ndo tutawapenda sana?.Naomba samahani kwa wale waliozaliwa hivyo.naongelea hawa wakichina.Unakuta mtu alikuwa Miss baada ya kumaliza tu.Mtoto anapata figure nzuri mpaka unashangaa.Acheni dada zetu mtapata kansa za bure.Uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu.Ingawa napenda sana watoto wa hivyo.ila c wakichina.Badilikeni!..MTAPATA MADHARA BAADAE.
 
hawa ngozi nyeupe Afrika ndio jalala lao la kuzitest bidhaa zao.Nalog off
 
hawa ngozi nyeupe Afrika ndio jalala lao la kuzitest bidhaa zao.Nalog off

Waache basi kutumia hayo madawa,hawa wadada,si washajua madhara.Mwingine naskia anaenda kuchoma sindano kila mwezi 50,000.duuh!nawapa pole cna.
 
Zamani walikuwa wanaweka masponji
 
Tofauti ya mchina na original ikoje?...................

mnataka kutuambia kwamba mwembamba akinenepa tu mchina

kama ndo hivo basi kazi ipo jamani
.
 
jifunze kutumia umoja mana usiusemee moyo wa wenzio wakati juzi nimesoma gazetini mtu kapewa na mumewe laki mbili kaambiwa nikirudi uwe ushanunua dawa ya kichina la sivo tunaachana loh!
asa ww unataka kuapply low gani hapa
 
jifunze kutumia umoja mana usiusemee moyo wa wenzio wakati juzi nimesoma gazetini mtu kapewa na mumewe laki mbili kaambiwa nikirudi uwe ushanunua dawa ya kichina la sivo tunaachana loh!
asa ww unataka kuapply low gani hapa

thanks aminata 9..
 
Tofauti ya mchina na original ikoje?...................

mnataka kutuambia kwamba mwembamba akinenepa tu mchina

kama ndo hivo basi kazi ipo jamani
.

Kama ya mchina akiwa mtupu utaona tu ngozi inavyotepeta
 

Siyo dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…