Hii ni kufuru!

Papa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
1,153
Reaction score
1,359
Inawezekana wewe hujui utakula nini leo, lakinimwenzako Franck Ribery msukuma ndinga wa timu ya Bayern Munich ameonekana akila nyama iliyopakwa dhahabu (gold coated meat) kwenye mgahawa maarufu huko Dubai.

Siku za karibuni wachezaji mbalimbali waneonekana wakila nyama za kuchoma kwenye huo mgahawa unaomilikiwa na bwana mmoja raia wa nchi ya Uturuki . Rais wa Venezuela ni mmoja wapo wa watu waliokula kwenye mgahawa huo unaosifika kwa nyama tamu za mbuzi pamoja na manjonjo ya mmiliki wake.

Pitia Link
Avertissement de redirection

 
Hakuna cha dhababu wala Almasi hapo ni manjonjo tu jikoni kujua kudisaini chakula hapo wamepaka bizali ya njano, wame mix aina ya bizali jikoni tu
 
Mnatakatisha dhahabu mliyojikamatisha nayo pale mwanza na mbuzi mlizokodia ndege ya dripulaana kutoka mwanza au
 
Kwa hiyo wanakula dhahabu au binzari ya dhahabu....?
Sio binzari..dhahabu hiyo...Ni madini ambayo hayareact ndio maana hata watu wamekuwa wakitumia kama ornaments kwenye kinywa
 
acha kuongopea watu wewe
 
Kwamba nyama imepakwaa Dhahabuu????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Wazungu hawana ulimbukeni wa hivyo hasa kwenye suala la Afyaa zaooo... Unajua athari ya Metal kama dhahabu mwilini wewe??? Saa nyingine ficha Ujinga wakooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: y-n
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…