Hii ni kwa walaji wa nyama choma mitaani (mnalishwa nyama za nyoka/kenge wa kichina)

Hii ni kwa walaji wa nyama choma mitaani (mnalishwa nyama za nyoka/kenge wa kichina)

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
image002ih.jpg



image004p.jpg



image005so.jpg



image005so.jpg



image008mm.jpg



image010h.jpg



image011tz.jpg
 
Hivi hawa viumbe hawana sumu?
Da! jamaa anachinya kama chicken!!
 
Umenikumbusha sana utamu wa kenge,zinapatikana wapi hizo nikajinome?
 
dah! hiyo mbona iko mwake kabisa mazee. hapo amekosekana mamba na kobe tu....minyama ni mitamu hiyo acha kabisa...
 
kwa kweli maswala ya kula hua ni imani ya kumwamini tu mpishi lakini unacho kula hujui kwa kweli lakini ndio kama hivyo tunavyo ona.
 
Siku niliyokula nyama ya mamba ilibidi niwe bwii sana, lakn kesho yake mwenyewe nikaenda weka order kwa jinsi ilivyo tamu!
 
2241118573_0e50b7bf01.jpg


Utasababisha watu wasile nyama mwezi mzima nikiwapo mwenye loh!!!!!!
 
Back
Top Bottom