..Hata huyo chicken ana sumu mkuu. ni maandalizi tu kitu unameza bila kelele wala mikwaruzo!!Hivi hawa viumbe hawana sumu?
Da! jamaa anachinya kama chicken!!
wanga hupati shida kuwatambuadah! hiyo mbona iko mwake kabisa mazee. hapo amekosekana mamba na kobe tu....minyama ni mitamu hiyo acha kabisa...
Umenikumbusha sana utamu wa kenge,zinapatikana wapi hizo nikajinome?