Hii ni kwa wanangu wa Home university

Hii ni kwa wanangu wa Home university

the blue sky

Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
24
Reaction score
18
Niaje wakuu, Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu wa 2018,nikafanikiwa kuchaguliwa Home university. Na hizi ndio sifa za home university. 1.Hakuna boom wala mkopo. 2.Hakuna ada in bure kabisa. 3.Hakuna kusap wala kudisco. 4.Hakuna cha quiz wala test. 5.Huku ni__________________ 6_______________________
7____________________
8______________________
Dah! wanangu wa home university mpoooo.maisha yanaendaje huko. Ila😭😭😭😭 BODI YA MIKOPO MUNGU ANAWAONA.

Muwe na siku njema wakuu
 
mdogo wangu naona wamekunyima mkopo... pole sana asee ndio maisha yalivyo

lakin hii ishu ya mkopo wa bodi mimi huwa napenda kuwashauri madogo wengi wauchukulie kama mkopo mwingine tu ulivyo so hakuna guarantee ya 100% kuwa utaupata

maana at the end of the day anayewakopesha ana uhuru wa kumpa nani na nani amnyime

na hakuna sheria itakayomuhoji kwann fulani umempa na fulani hujampa

so usiweke mategemeo yako yote kwenye mkopo

unaweza ukawekeza mawazo yako yote kwenye mkopo wa bodi na ukaukosa alafu ukaishia kuwa frustrated
 
mdogo wangu naona wamekunyima mkopo... pole sana asee ndio maisha yalivyo

lakin hii ishu ya mkopo wa bodi mimi huwa napenda kuwashauri madogo wengi wauchukulie kama mkopo mwingine tu ulivyo so hakuna guarantee ya 100% kuwa utaupata

maana at the end of the day anayewakopesha ana uhuru wa kumpa nani na nani amnyime

na hakuna sheria itakayomuhoji kwann fulani umempa na fulani hujampa

so usiweke mategemeo yako yote kwenye mkopo

unaweza ukawekeza mawazo yako yote kwenye mkopo wa bodi na ukaukosa alafu ukaishia kuwa frustrated
asante,japo inauma sana
 
asante,japo inauma sana
pole sana i knw the feeling... nna rafiki yangu mmoja naye alikaaga home mwaka mzima kwa kukosa mkopo

ila mwaka uliofatia aliomba tena akapata... akaingia ARU akapiga bach ya PFM now yupo zake dubai huko kampuni la MCHECHU kama property manager

so usikate tamaa hapo sio mwisho kuna mengi mazuri yapo mbele chamuhimu kupambana
 
pole sana i knw the feeling... nna rafiki yangu mmoja naye alikaaga home mwaka mzima kwa kukosa mkopo

ila mwaka uliofatia aliomba tena akapata... akaingia ARU akapiga bach ya PFM now yupo zake dubai huko kampuni la MCHECHU kama property manager

so usikate tamaa hapo sio mwisho kuna mengi mazuri yapo mbele chamuhimu kupambana
Nashukuru kwa kunifariji,mungu akubariki
 
Back
Top Bottom