A3M
Member
- Jul 23, 2019
- 84
- 178
Habari Wana JF.
Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia.
Hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi.
Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia.
Hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi.