Kadi nyekundu ya Eric Bailly jana, kadi hiyo imemupa tano beki huyo raia wa Senegal.
Baada ya Maurinio kufurushwa sasa lazima kuweka nidhamu kwenye defence.
Eric Bailly alitoa onyo kali kwa maforward wote atakaopamabana nao kwamba ni lazima waelewe wazi yeye ndiyo anachukua mkoba wa timu hivyo ni lazima waelewe kwamba wasipochukua tahadhari wanaweza kuvunjwa mguu kwa sababu sifa mojawapo ya mkoba mzuri ni kupata kadi nyekundu muda wowote na isipite mechi tano bila kupata kadi nyekundu.
Hii inawafanya waforwad kupigia mbali na kufanya mapigo yasiyo na mwelekeo.
Hongera sana Eric Bailly kwa kutaka kurudisha nidhamu kwenye defence ya MAN -U.
Baada ya Maurinio kufurushwa sasa lazima kuweka nidhamu kwenye defence.
Eric Bailly alitoa onyo kali kwa maforward wote atakaopamabana nao kwamba ni lazima waelewe wazi yeye ndiyo anachukua mkoba wa timu hivyo ni lazima waelewe kwamba wasipochukua tahadhari wanaweza kuvunjwa mguu kwa sababu sifa mojawapo ya mkoba mzuri ni kupata kadi nyekundu muda wowote na isipite mechi tano bila kupata kadi nyekundu.
Hii inawafanya waforwad kupigia mbali na kufanya mapigo yasiyo na mwelekeo.
Hongera sana Eric Bailly kwa kutaka kurudisha nidhamu kwenye defence ya MAN -U.