BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Katika harakati zangu za kusaka pesa kupitia biashara ya duka la rejareja....hua napenda kujifunza vitu kutoka kwa wauzaji wengine....lakini pia hata kupitia jamii inayotuzunguka
Hua napenda kuzunguka sehem zenye maduka na ikiwezekana hata kununua kitu just kutaka kujua upangliaj wa bidhaa...bei hata na bidhaa nsizokuwa nazo(just kwa kuangalia)
Kupitia harakati hizi nmejifunza kuwa watu wengi wana mitazamo ifuatayo kwa sisi wauza maduka(hasa reja reja)
1.Muuza duka lazima alale dukani
-wengi wao hutegemea kmuona muuza duka akilala dukan....ndo mtazamo walotuwekea....wanaamini katika kila meza ya muuza duka chini kuna godoro....damn it
2.wauza maduka hawako smart
-yan wanaamin kuwa wauza maduka reja reja wao n nguo chakav tu...!!hatujipendi...!!kwapa znatema...!!yte n kwakuwa hatuna mda wa kufua au ht pesa ya knunua nguo
3.hatuna mapumziko wala mda wa kulala
-wengi wanaamini muuza duka mda wote uwe kazin...no weekend au mapumziko...ikitokea duka limefungwa hapo tegemea maswali na lawama kutoka kwa wateja(watasema umeshba pesa)
Na pia hawategemei kuwa utachelewa kufungua ama kuwah kufunga....ukienda kinyume na hapo lawama kibao ztakuangukia
Mipangilio yangu mimi
1.kwanza cwez kulala dukan....mimi sio mo passion...!!ni binadam na nnahtaji faragha....so kwa hili nmepanga chumba ambacho nakilipia kwa makadirio ya mshahara wangu hapo dukan(kujilipa ni muhim)
2.Muda wa kufunga ni saa 3.30 ucku.....saa 1 kamili asubuh n lazma duka lifunguliwe
3.Hua natenga cku 1 ya mapumziko...!!cku ambayo nitafanya usafi wa nguo na ndan ya chumba kwa ujumla...na cku ambyo nitajipikia mwenyew
Ushauri:...
Nimepita maduka mengi saana...na nnashuhudia mangi weng wakiwa n watumiaj sana wa kahawa na vnywaji vya energy...hii yote n kuenda na kasi ya kutafuta pesa
Lakini tusisahau kuwa caffeine ina madhara...lkn pia wew n bnadam...jipangie ratiba zako ambzo ztakufanya angalau kimwili...kiakili na kimaisha uwe vizuri
Hela zipo siku zote....na tutaziacha...!!kuna muda..(sio muda wote) unatakiwa kuipa kisogo na utumie muda huo kupanga maisha na familia....kuonana n ndugu...plus pia kuzunguka(kukaa sehem moja cku mzma inachosha)
Ni mtazamo na ushauri wangu
Hua napenda kuzunguka sehem zenye maduka na ikiwezekana hata kununua kitu just kutaka kujua upangliaj wa bidhaa...bei hata na bidhaa nsizokuwa nazo(just kwa kuangalia)
Kupitia harakati hizi nmejifunza kuwa watu wengi wana mitazamo ifuatayo kwa sisi wauza maduka(hasa reja reja)
1.Muuza duka lazima alale dukani
-wengi wao hutegemea kmuona muuza duka akilala dukan....ndo mtazamo walotuwekea....wanaamini katika kila meza ya muuza duka chini kuna godoro....damn it
2.wauza maduka hawako smart
-yan wanaamin kuwa wauza maduka reja reja wao n nguo chakav tu...!!hatujipendi...!!kwapa znatema...!!yte n kwakuwa hatuna mda wa kufua au ht pesa ya knunua nguo
3.hatuna mapumziko wala mda wa kulala
-wengi wanaamini muuza duka mda wote uwe kazin...no weekend au mapumziko...ikitokea duka limefungwa hapo tegemea maswali na lawama kutoka kwa wateja(watasema umeshba pesa)
Na pia hawategemei kuwa utachelewa kufungua ama kuwah kufunga....ukienda kinyume na hapo lawama kibao ztakuangukia
Mipangilio yangu mimi
1.kwanza cwez kulala dukan....mimi sio mo passion...!!ni binadam na nnahtaji faragha....so kwa hili nmepanga chumba ambacho nakilipia kwa makadirio ya mshahara wangu hapo dukan(kujilipa ni muhim)
2.Muda wa kufunga ni saa 3.30 ucku.....saa 1 kamili asubuh n lazma duka lifunguliwe
3.Hua natenga cku 1 ya mapumziko...!!cku ambayo nitafanya usafi wa nguo na ndan ya chumba kwa ujumla...na cku ambyo nitajipikia mwenyew
Ushauri:...
Nimepita maduka mengi saana...na nnashuhudia mangi weng wakiwa n watumiaj sana wa kahawa na vnywaji vya energy...hii yote n kuenda na kasi ya kutafuta pesa
Lakini tusisahau kuwa caffeine ina madhara...lkn pia wew n bnadam...jipangie ratiba zako ambzo ztakufanya angalau kimwili...kiakili na kimaisha uwe vizuri
Hela zipo siku zote....na tutaziacha...!!kuna muda..(sio muda wote) unatakiwa kuipa kisogo na utumie muda huo kupanga maisha na familia....kuonana n ndugu...plus pia kuzunguka(kukaa sehem moja cku mzma inachosha)
Ni mtazamo na ushauri wangu