nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
"Mimi huwa sisemagi ukweli"
Naomba mniambie hiyo sentensi hapo juu ina maanisha kuwa huyo jamaa ni mkweli?
Na kama ni mkweli, kwanini hapo kaongopa?
Na kama sio mkweli, maana yake anasemaga ukweli na kama anasemaga ukweli, kwanini hapo kaongopa?
Karibuni wenye vichwa vyenu
Naomba mniambie hiyo sentensi hapo juu ina maanisha kuwa huyo jamaa ni mkweli?
Na kama ni mkweli, kwanini hapo kaongopa?
Na kama sio mkweli, maana yake anasemaga ukweli na kama anasemaga ukweli, kwanini hapo kaongopa?
Karibuni wenye vichwa vyenu