Hii ni kweli kuhusu tiba ya UKIMWI?

kimpango

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
600
Reaction score
717
Katika pitapita yangu you tube nimekutana na hii kitu ,

ndani ya 15 days watu wamepona ..is it true?
pita uone then ucomment
 

Attachments

Be careful matapeli siku hizi kila kona wapo. Ukizubaa kidogo tu umeliwa.
 
Mungu akipenda dawa ipatikane inawezekana.
Kiukweli yaani kisayansi kupata dawa yenye sifa zinazofanana na kirusi cha ukimwi inayoweza kujitransfigure ikareact na kubadilika from one stage to another hadi ifikie kwenye seli kiini ikawaharibu hao wadudu pasipo kumdhuru kumuua mtu ni kazi.
Tatizo most of us hatujui sifa za kirusi cha ukimwi. Huyo mdudu ni noma. Sayansi yetu bado iko chini ktk masuala hayo ila nadhani india wameadvance parefu sana.
Utapeli mwingi ndiyo unaotawala.
 
Hakuna dawa ya virus yeyote duniani. Chanjo .
 
dawa ngapi za kienyeji unazozifahamu zilifanyiwa utafiti awali? we should not dismiss it readily kwamba haiwezekani. tuache research/tafiti za kina zituelekeze kwamba ni kweli au si kweli. lakini until then tukae mbali kidogo.....
 
dawa ngapi za kienyeji unazozifahamu zilifanyiwa utafiti awali? we should not dismiss it readily kwamba haiwezekani. tuache research/tafiti za kina zituelekeze kwamba ni kweli au si kweli. lakini until then tukae mbali kidogo.....
Mtu akisema amegundua dawa hapo si ndiyo anawaalika wataalamu wakafanyie utafiti dawa yake ili ijulikane kama ni sawa au hapana.
Sasa kama wataalamu wa utafiti wako mbali tufanyaje mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…