kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Tambuweni haya maandiko yanawahusu
Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa
Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza
Sina maneno mengi tukutane mwisho wa mwaka tukiwa na kombe letu la shirikisho.
Maneno yatabadirika kuwa ni kombe la waliofeli.
Mara sisi tuna cheza africa super league.
Watapanda kutoka na fasi ya 10 mpaka nafasi ya 3 bila kuwa na kombe lolote la kimataifa
, [emoji848][emoji24][emoji51][emoji1]
Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa
Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza
Sina maneno mengi tukutane mwisho wa mwaka tukiwa na kombe letu la shirikisho.
Maneno yatabadirika kuwa ni kombe la waliofeli.
Mara sisi tuna cheza africa super league.
Watapanda kutoka na fasi ya 10 mpaka nafasi ya 3 bila kuwa na kombe lolote la kimataifa
, [emoji848][emoji24][emoji51][emoji1]