Hii ni Laana ya Baadhi ya Vijana Wetu wa Tanzania

Hii ni Laana ya Baadhi ya Vijana Wetu wa Tanzania

Richard Mlangi

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2012
Posts
380
Reaction score
193
Imekuwa ni kawaida yenu vijana wa TZ kuwachukia wenzenu wanapopata mafanikio.

Ninayo mifano ya Mr Nice, Daz B n.k ambao mliwavunja nguvu na kuwakatisha tamaa hadi kupelekea frustratration walipokuwa wakihangaika kufikia ndoto zao.

Hamjaacha laana hiyo, hivi sasa mmehamia kwa Diamond.
Mnasahau kuwa Diamond amepata mafanikio si kwa njia za mkato bali kujituma, kuipenda kazi yake, kuuheshimu muziki na kuthamini mashabiki.

Hii ni laana ya umaskini wa fikra na wivu wa kivivu.
 
Halafu walivyo na uvivu wa kufikiri wanafikia kumlinganisha Diamond na Ali Kiba.
Are we serious ???

Ni sawa kumlinganisha Jay Z na Yosso wa magomeni.

Tuheshimu cv za watu !

Diamond ameifanyia kazi cv yake.

Hahahaaaaa...umemaliza...eti Jay Z na nani?
 
hahahaha wivu mbaya sana cjui tz kuna laana gan huyo hasheem thabit angeishi bongo pia wangehakikisha wanamvunja moyo psychologically cjui tutajivunia na nn wenzetu Kenya wanatuacha kila leo.
 
Kweli kaka MUNGU hatupi roho mbaya, Tumezipandikiza tu wenyewe!
 
Wa kwanza huyu hapa.. Dah, ndo bongo.. Ukifanikiwa ndugu ndo wa kwanza kukuombea mabaya!!

hivii mtu kama una uwezo na juhudi chuki zitafanya nini kwako??...mmesahau kuna wanaojituma na kujielewa mpaka leo wapo njema...angalia mtu kama jide...alioanza nao wako wap??...au yeye ana undugu na hao watanzania mnaodai wanalaani.......OMG!!..poor minded
 
Imekuwa ni kawaida yenu vijana wa TZ kuwachukia wenzenu wanapopata mafanikio.
Ninayo mifano ya Mr Nice, Daz B n.k ambao mliwavunja nguvu na kuwakatisha tamaa hadi kupelekea frustratration walipokuwa wakihangaika kufikia ndoto zao.

Hamjaacha laana hiyo, hivi sasa mmehamia kwa Diamond.
Mnasahau kuwa Diamond amepata mafanikio si kwa njia za mkato bali kujituma, kuipenda kazi yake, kuuheshimu muziki na kuthamini mashabiki.

Hii ni laana ya umaskini wa fikra na wivu wa kivivu !

hao wote angalia sababu za kuanguka kwao usikurupuke tu...nani asiejua mr nice alivyobweteka na kujipoteza mwenyewe!!...haya uyo daz baba kuna mtu aliemlazimisha kua teja??.,pia hata uyo diamond mimi nikimchukia ntamzuia na jirani yangu asimpende!!....kajipange mkuu usikurupuke
 
Halafu walivyo na uvivu wa kufikiri wanafikia kumlinganisha Diamond na Ali Kiba.
Are we serious ???

Ni sawa kumlinganisha Jay Z na Yosso wa magomeni.

Tuheshimu cv za watu !

Diamond ameifanyia kazi cv yake.

Like like like like,umeua mkuuuuu
 
hao wote angalia sababu za kuanguka kwao usikurupuke tu...nani asiejua mr nice alivyobweteka na kujipoteza mwenyewe!!...haya uyo daz baba kuna mtu aliemlazimisha kua teja??.,pia hata uyo diamond mimi nikimchukia ntamzuia na jirani yangu asimpende!!....kajipange mkuu usikurupuke

Kwa hiyo furaha yako ni kusikia Diamond anabwia unga, ameacha kuimba, amefulia ???

...halafu unapata nini ??????
 
Kwa hiyo kama mimi sio shabiki wa ndomo,basi nina laana?si kila mwanamziki wa chaguo lako basi kila mtanzania amshabikie!halafu wewe ni nani mpaka kuwa msemaji wa mashabiki wa ndomo?Ivi unashindwa kujua kwamba kila "zama na kitabu" chake.Mwanamasubwi Tyson alikuwa gumzo la dunia kwa miaka 25,Yuko wapi sasa?sasa kwa mliobarikiwa namna pekee ya kuonyesha mapenzi kwake ni kuvua chupy au boxer baaasi.
 
hivii mtu kama una uwezo na juhudi chuki zitafanya nini kwako??...mmesahau kuna wanaojituma na kujielewa mpaka leo wapo njema...angalia mtu kama jide...alioanza nao wako wap??...au yeye ana undugu na hao watanzania mnaodai wanalaani.......OMG!!..poor minded

jide hana mpinzani kwa sasa ndio maana kwake ni kura za ndioooooo kama enzi zile za chama cha TANO hivyo usimlete hapa, na kama unabisha kipindi Ray C akiwa juu watu walimpambanisha sana na jide, na jide ndie aliyekuwa anazodolewa sana, kuwa hajui kukata kiuno kama ray c, mara stage perfomance poor ( tho mpaka sasa ni very poor hutaki pita pale) ray c alivyopotea tu wote mmerudi kumsifia jide kama sio UNAFIKI ni nini??? kwa kifupi watanzania we have along way to go.
 
jide hana mpinzani kwa sasa ndio maana kwake ni kura za ndioooooo kama enzi zile za chama cha TANO hivyo usimlete hapa, na kama unabisha kipindi Ray C akiwa juu watu walimpambanisha sana na jide, na jide ndie aliyekuwa anazodolewa sana, kuwa hajui kukata kiuno kama ray c, mara stage perfomance poor ( tho mpaka sasa ni very poor hutaki pita pale) ray c alivyopotea tu wote mmerudi kumsifia jide kama sio UNAFIKI ni nini??? kwa kifupi watanzania we have along way to go.

slow learner wewe hujanielewa....kalalee
 
Kaka unaona mbali wengi wetu tumajawa wivu usio na msingi. Sababu kubwa ya wabongo wengi hawana kazi za kufanya wanakaa vijiweni tu au kushinda kwenye social networks. Tufanye kazi tuache wivu.
 
Hyo yote ina reflect jinsi mawazo mgando yanavoathir vichwa vya watu mpaka wanakuwa hawana tofaut na wavuta bangi, a rich mind will never come out with such bullshit!!!

hivi bangi mnaichukuliaje....
 
ukiona mtu anatafsiri kila jambo kwamba ni wivu ujue yeye ndo ana wivu.aliwazalo mjinga ndilo linalomtokea.kupingana na kutokubaliana zote ni taratibu za kibinaadamu,wakati mwingine tukubaliane kutokukubaliana kuliko kuzushiana kinachotokea hapa ni ushabiki tu na hapana chuki yeyote labda mnaozungumzia wivu ndio muwe na wivu.nawakilisha
 
Back
Top Bottom