Sijakuelewa kakangu.toa maelekezo zaidi,
Bi dada huamini umeshacheki kama ndo tayari au huamini nini tena? Jamaa hapo juu ameshaui "Review your history".Siamini
ujue kaliwaukiona manyoyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........hahahaaaaa
hakutegemeawewe ni dent wa primary nini mbona unaonekana muoga?
duh pole sana kwa gubu za wifi na mama mkwe , lakini kwa maelezo yako utakuwa umenasa hongera sana.Sio uoga jaman.nimeolewa kabisa ila ni furaha tu coz mamkwe na mawifi walishaanza kunisumbua.